Kazi ya Wasira ni kuingia baraza la mawaziri kisha kusikiliza baadaya kuisaini allowance!
Kwa ujumla hana kazi ya uzalishaji kwa Taifa Maana ofisi yake ni yeye na dereva wake! Binafsi nasubiri kwa hamu bajeti yake Mwezi julai itakuwa shilingi elfu ngapi