malcom2
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 301
- 67
Ulituaidi punguzo la umeme lkn matokeo yake imekua ni kisima cha rushwa.
Mimi ni mkazi wa arusha nimelipia nguzo pamoja na service line kuanzia mwezi wa kwanza lkn matokeo yake nimeambiwa hili nipewe nguzo nitoe rushwa ya laki moja ndio nipewe nguzo je?hii ni sawa na kama ni sawa ni bora warudishe bei ile ile hili tufungiwe umeme kwa wakati,maana kuanzia waziri hatoe tamko la punguzo wananchi wa arusha akuna aliyefungiwa umeme isipokua wale waliokubali kutoa rushwa,tumechoshwa na uongo wa serikali ya ccm
Mimi ni mkazi wa arusha nimelipia nguzo pamoja na service line kuanzia mwezi wa kwanza lkn matokeo yake nimeambiwa hili nipewe nguzo nitoe rushwa ya laki moja ndio nipewe nguzo je?hii ni sawa na kama ni sawa ni bora warudishe bei ile ile hili tufungiwe umeme kwa wakati,maana kuanzia waziri hatoe tamko la punguzo wananchi wa arusha akuna aliyefungiwa umeme isipokua wale waliokubali kutoa rushwa,tumechoshwa na uongo wa serikali ya ccm