Naamini kumbukumbu zangu ziko sahihi sana, Mh Vuai alisema ndani ya wiki mbili kutakuwa na mabadiliko makubwa uhamiaji, sasa ni zaidi ya wiki 2 mabadiliko tayari au ? Naomba kuelimishwa huenda yamefanyika kimya kimya. Wana JF naombeni saada dugu
Mabadiliko tayari yameshafanyika,ingawa alitakiwa kupublicise/kuitisha press comference kutangaza mabadiliko hayo kama alivyofanya wakati anatangaza azimio lake.
Naamini kumbukumbu zangu ziko sahihi sana, Mh Vuai alisema ndani ya wiki mbili kutakuwa na mabadiliko makubwa uhamiaji, sasa ni zaidi ya wiki 2 mabadiliko tayari au ? Naomba kuelimishwa huenda yamefanyika kimya kimya. Wana JF naombeni saada dugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.