Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Dawa yao hawa ni kuanza kumlipua fisiemu mmoja baada ya mwingine hadi kizaz chao haramu kitoweke.Unachekesha na wale wanao kwenda India kwa nini wasitibiwe Muhimbili?
Kuna baadhi ya matatizo Muhimbili hawana vifaa. Huwezi kufanya mazoezi kwenye mwili wa mtu. Huyu kavunjika mkono na anaongea na simu unataka kulinganisha na mtu aliye kuwa kwenye coma?
Kwanza huyu hajaumia sana na pia ila ma siasa hapo itachukua nafasi