Waziri Nchimbi: Mtwara kesho kutakuwa salama na shughuli zote zitaendelea kama kawaida!

Akitoa tamko la serikali TBC1 waziri wa mambo ya ndani ndugu Emmanuel Nchimbi amesema polisi imeimarisha ulinzi Mtwara.

nchimbi amaenikumbusha JK aliposema kuwa yale mabomu yaliyolipuka mbagala haitatokea tena, haukuisha mwezi yakalipuka gongo la mboto, jk akaingia uvunguni hakutoa kauli tena.
 
Akitoa tamko la serikali TBC1 waziri wa mambo ya ndani ndugu Emmanuel Nchimbi amesema polisi imeimarisha ulinzi Mtwara.

ukiona tamko kama hilo basi ujue wamejipanga kuhamishia serikali nzima huko mtwara kwa maana ya jeshi la polisi na kutumia kila aina ya ubabe na ukandamizaji hiyo kesho ili kuiaminisha dunia kuwa amani imerejea mtwara na hakuna tatizo lolote lile ili hali utawaona polisi wanazurura kila kona ya mtwara hiyo kesho.
 
ccm ni uwozo mtupu hebu kuwen makin basi hata ktk hiki kidogo tulicho nacho mbona mnajitia aibu hebu mh.mpinda sem mwenyewe maan nakuona ww ndo mwenye uelewa kidogo maan mpak watu kufikia kuwaandika ktk mitandao y jamii vibay basi jueni tumewachoka kuliko hali iendelee hv n bora tusiwe uongozi
 
nchimbi amaenikumbusha JK aliposema kuwa yale mabomu yaliyolipuka mbagala haitatokea tena, haukuisha mwezi yakalipuka gongo la mboto, jk akaingia uvunguni hakutoa kauli tena.

nashauri Wassira asizungumze kabisa kipindi hiki maana hali itakuwa mbaya zaidi kwa jinsi niujuavyo ule mdomo wake!
 
Mgogoro wa mtwara na lindi utatuliwe kwa njia za kidiplomasia na si mabavu.Iundwe tume maalumu iende mtwara ikawasikilize wale wananchi wanataka nini,na baada ya hapo taratibu zingine zifuatwe ili kuumaliza mgogoro huu kwa amani na utulivu. kutumia mabavu kutatua mgogoro huu,itakuwa ni temporary solution.
 
Tatizo kubwa ni Jeshi la Polisi kujifanya Tawi la CCM wakati Si kazi Yao kuingilia ushabiki wa kisiasa
 
Acha kutupotosha hakuna hali ya hatari iliyotangazwa katika taifa letu, wana kusini wapo salama na wanaendelea na shughuli zao za kila siku bila hofu yoyote.

Leo unasemaje?

Magamba mmekuwa useless.Ndio maana hata watu wanawaona mmekuwa wadini.Kwani makanisa yakiungua mna majibu kam haya.Halafu mnasubiri hali ijirekebishe.NI upepo tuu......

Kweli nchi ipo ktk Autopilot...Upepo unasubiriwa upite.
 
Amekuwa mtabiri huyo bwana bingwa wa nguvu za propaganda za gizani!hazina nafasi karne hii!
 
sasa km waziri kasema jana kuwa kaimarisha ulinzi,leo yanatokea haya had jeshi linakwenda na kuumbuliwa na ajali.Itakuweje wakija kutoka nje ya mipaka?Ndio napata ufahamu kwanini watu kigoma na mikoa mingine ya magahribi wanavamiwa na magruneti, na silaha kali na kuporwa kila siku, mara moja moja hujitahidi kujikomboa na kuua wachache.
 
sasa km waziri kasema jana kuwa kaimarisha ulinzi,leo yanatokea haya had jeshi linakwenda na kuumbuliwa na ajali.Itakuweje wakija kutoka nje ya mipaka?Ndio napata ufahamu kwanini watu kigoma na mikoa mingine ya magahribi wanavamiwa na magruneti, na silaha kali na kuporwa kila siku, mara moja moja hujitahidi kujikomboa na kuua wachache.
Hii ni sababu ya kumstaafisha waziri.. Sema not ina Tanzania
 
Taarifa za uhakika zinasema kuwa kuna difenda 15 zimetoka dar usiku huu na zitaingia mtwara usiku huu ili kuja kuongeza nguvu kwa wenzao wa mtwara.lakini mbona hali hio haijafikia kama ambavyo polis wanavyofikiria?inaonekana wanataka kutumia nguvu nyingi bila sababu. Kwa wale walio mbali na mtwara ukweli ni kwamba leo wafanyabiashara wote pamoja na wadau wa usafiri(bodaboda,bajaj na daladala) watasitisha kutoa huduma kwa mda wa siku 1 ili wapate mda wa kusikiliza hotuba ya bajet ya wizara ya nishat na madini.huku hakuna maandamano wala mkutano na wanaosema kama kuna maandamano hao wana mambo yao.polisi acheni kupita mitaa huku mukiwa na mabom na bunduki mtazusha vurugu(vita) tumieni busara zaidi ktk hili


Hivi wanamara wakurya, wakikatalia dhahabu zao, wanashinyanga wakikatalia madini, mbyea wakigoma, wana iringa wakigoma, wana singer wakigoma Leo je defender na polisi na jeshi wataweza kuzuia vurugu? Mikataba YOTE ipitiwe TUMECHOKA KUONA VIONGOZI NA FAMILIA ZAO WAKITUMIA SERA MBOVU ZA MALI ASILI ZA NCHI HII KUJITAJIRISHA!
 
Back
Top Bottom