johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,791
- 143,244
Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba PhD amesema Serikal ya Awamu ya 6 inajenga Uchumi utakaowezesha vizazi vijavyo kufaidi Matunda ya uhuru wa nchi Yetu
Dr Mwigullu amesema Hazina ya Nchi iko salama ndio maana wanalipa Mishahara kabla ya Sikukuu Wananchi wafurahi
Mwigullu alisema hayo huko Moshi kwenye Ibada
Mungu ni mwema Wakati wote!
Dr Mwigullu amesema Hazina ya Nchi iko salama ndio maana wanalipa Mishahara kabla ya Sikukuu Wananchi wafurahi
Mwigullu alisema hayo huko Moshi kwenye Ibada
Mungu ni mwema Wakati wote!