Waziri Mwigulu si ulisema ni Vocha tu? Imekuwaje?

Kwanini kila siku waminywe raia tu na si waheshimiwa? Suluhu mshahara wake kwa mwaka ni zaidi ya milioni 400 na kila kitu analipiwa na walipa kodi kwa nini asikatwe kodi ya 300 million? Marais wastaafu kiinua mgongo chao ni 75% ya mshahara wa Rais kwa nini wasikatwe kodi pia Waziri Wakuu wastaafu? Wabunge mishahara yao, marupurupu na kiinua mgongo cha zaidi ya 300 million kila mmoja kwanini wasikatwe kodi?

Tuvumilie tax base ni ndogo,Suluhu ni kuwafikia wengi kwa indirect taxes.
 
FFB78A52-B7A4-47FF-85C4-C88300190869.jpeg

Mfano
Mpesa
Zingatia tozo ya VAT vs Levy mpya


na ni % ngapi hii kitu mana dahh

VAT ikiwa 900 hii levy ni 10,000,

what is this?
 
Sasa hivi mtu akitaka kufanya biashara na mimi hela yote hata kama ni Tsh 50,000/= atie kwenye account tu,nitatoa kwa week kama 6mill kwa ajili ya kutimiza majukumu kwa wale nitakaobidi nikanunue mzigo nje ya kitengo huu umeshakuwa ujinga.

Hela za kwenye simu zilikuwa zinarahisisha sana biashara na siyo kwamba ilikuwa rahisi tulikuwa tunajikaza kisabuni tu sasa bora kurudi zama za kukaa foleni 1hrs+ kwenye teller,yaani nilipe mapato,service lev,license,uchafu,kodi ya pango leo tena tozo za kutoa pesa zangu ziongezwe hii ngoma wakacheze na mama zao sipo tayari kushiriki.
 
Kuna Siku niliwahi kuanzisha Uzi hapa JamiiForums nikisema hakuna Watu 'Wanafiki' na huenda wakawa na 'Doctorate' ya 'Unafiki' huo kama Watanzania wachache sana walinielewa, ila wengi walinibishia mpaka Kunidhihaki sasa nadhani taratibu tu tutaelewana Kudadadeki.
Kabisa mkuu tena wasitupigie kelele kabisa!

Diamond waliekuwa wanamdis wakati bajeti inasomwa ndio huyo karudi na gari la bilion+ huku wao wakipiga miayo na kualalama juu ya kodi isiyozidi elfu 5
 
Kabisa mkuu tena wasitupigie kelele kabisa!

Diamond waliekuwa wanamdis wakati bajeti inasomwa ndio huyo karudi na gari la bilion+ huku wao wakipiga miayo na kualalama juu ya kodi isiyozidi elfu 5
Watanzania tunachojua tu ni Kujadili Mambo ya akina Diamond, Mzee Mpili na Ushirikina mkubwa unaoendelea sasa Mkoani Kigoma kuelekea Fainali ya TFF ASFC kati ya Simba na Yanga ila Vitu vyenye Tija Kwetu kama Taifa na Nchi wala hatuna navyo muda.

Acha tu Serikali itukomeshe ili tukome!!!
 
Kabisa mkuu tena wasitupigie kelele kabisa!

Diamond waliekuwa wanamdis wakati bajeti inasomwa ndio huyo karudi na gari la bilion+ huku wao wakipiga miayo na kualalama juu ya kodi isiyozidi elfu 5
Elf 5 ipi tena?
Hii kodi inafika hadi elf 10
Ukijumlisha na makato ya zamani inafikia maximum ya elf 20.,
 
Nina ka 1M kangu,namwita boda boda nakafunga kama ka parcel tu kwenye bahasha,then nampa ampelekee Mshikaji wangu pale Mwenge from Tegeta kwa Tshs 10,000 na siko kutuma kwenye simu kwa gharama ya Tsh 31,000
Arafu boda boda ajasepa nayo
 
Kuna Siku niliwahi kuanzisha Uzi hapa JamiiForums nikisema hakuna Watu 'Wanafiki' na huenda wakawa na 'Doctorate' ya 'Unafiki' huo kama Watanzania wachache sana walinielewa, ila wengi walinibishia mpaka Kunidhihaki sasa nadhani taratibu tu tutaelewana Kudadadeki.
Nashauri kila hela anayolipwa Mbunge ikatwe 3% Withholiding Tax , kama "LOCAL FUNDIS" wanavyokatwa baada ya kufanya kazi kwenye miradi ya Serikaki.

Serikali itakusanya pesa nyingi kwa ajili ya miradi ya kimkakati.
 
Waziri, Nilisikiliza Hotuba ya Bajeti
Na kuelewa kuwa makato yanaendana na kiasi cha vocha unayoweka na nikaona sio mbaya solidarity fund..

Hotuba ile sikusikia ni tozo kwenye huduma za kutoa na kuweka katika mitandao ya simu.,au wengine mliisikia hii?

Mikeka iliyotoka sio siri mhhh.
Naona umma haukuandaliwa kisaikolojia.

Nashauri irejewe.

Imagine kwa siku unataka kutumia watu 5 elfu 50 kila mtu, gharama za tuma na ya kutolea.

Mfano tu...
Mwiguru must GO!
 
Back
Top Bottom