SOVIET UNION
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 455
- 1,283
Yule Mwamba Mramba pamoja na kwamba alishwa twaliwa ila jamaa walipiga pesa enzi zao, yule mzee nina uhakika ana pesa ya ambayo hata vitukuu vya vitukuu vyake vitakula. Mramba walikuwa na Syndicate moja kari sana ya upigaji na enzi hizo pia ndio zile na Ubinagisishaji ulikuwa umepamba moto basi jamaa walifaidi sana.
Sasa namuona Mwamba Mwigulu akigiata nyayo za wakina Mramba na Mwenzake Daniel Yona kwenye upigaji, Mwigulu yuko kwemue Mision Maalumu sana ya accumulation of Capital by any means, na sioni hata Mama akimuondoa pale kwa sababu ni syndicate.
Wakina Mpina watapiga sana kelele ila hazitasaisaidia kitu.
Sasa namuona Mwamba Mwigulu akigiata nyayo za wakina Mramba na Mwenzake Daniel Yona kwenye upigaji, Mwigulu yuko kwemue Mision Maalumu sana ya accumulation of Capital by any means, na sioni hata Mama akimuondoa pale kwa sababu ni syndicate.
Wakina Mpina watapiga sana kelele ila hazitasaisaidia kitu.