Mungi JF Gold Member Sep 23, 2010 16,975 9,566 Jul 18, 2011 #1 Leo bungeni katika kipindi cha maswali na majibu mh. Mwandry alikiri mbele ya bunge kuwa ahadi za Rais hazitekelezeki. Zimejaa lukuki. Hii kali.
Leo bungeni katika kipindi cha maswali na majibu mh. Mwandry alikiri mbele ya bunge kuwa ahadi za Rais hazitekelezeki. Zimejaa lukuki. Hii kali.
Tuyuku JF-Expert Member Jan 6, 2011 3,292 1,919 Jul 18, 2011 #2 ...bora kajisemea ukweli...kumbe Vasco da Gama II alikuwa anakurupuka kutoa ahadi hewa