Home sweet home brodaNyumbani ni sehemu yoyote ambapo Una amani na Furaha. Pale unapozaliwa tu unapewa kabila, unapewa Jina na mavitu mengine bila ridhaa yako. Ndiyo system ya Dunia. Kwa hiyo mtu asipokuwa na amani na mavitu aliyopewa sababu tu kazaliwa hapo ni sawa tu.