Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Akiwa Davos Rais Kikwete amefanya mazungumzo na Waziri mkuu wa uingereza David Cameroun
ambapo amemsifia Rais Kikwete kwa kukuza sekta ya kilimo nchini kupitia Kilimo kwanza na
kukuza uchumi.
Source: Taarifa ya habari Mlimani TV.
My take: Kama Waziri Mkuu wa uingereza amemsifia Rais Kikwete, hawa akina Richard Brunwick
wanatoka wapi kueneza majungu na uchocheza katika mitandao?
Wamuulize Waziri mkuu wao awape ukweli badala ya kuzusha mambo.
ambapo amemsifia Rais Kikwete kwa kukuza sekta ya kilimo nchini kupitia Kilimo kwanza na
kukuza uchumi.
Source: Taarifa ya habari Mlimani TV.
My take: Kama Waziri Mkuu wa uingereza amemsifia Rais Kikwete, hawa akina Richard Brunwick
wanatoka wapi kueneza majungu na uchocheza katika mitandao?
Wamuulize Waziri mkuu wao awape ukweli badala ya kuzusha mambo.