Waziri Mkuu wa Canada alitaka kujichanganya kwa Vladimir Putin

Mhaya

JF-Expert Member
Aug 20, 2023
1,671
4,929
Justin Trudeau ambaye ni Waziri Mkuu wa Canada anaonekana akimpiga au kumgusa gusa Rais wa Russia kifuani jambo lililopelekea Bodyguard au mlinzi wa Vladimir Putin kusogea Karibu kuchunguza hilo tukio na kutaka kuchukua hatua za kiulinzi dhidi ya waziri mkuu wa Canada, ila kwa ishara ya siri ya kutumia mikono Vladimir Putin anaonekana kumtuliza bodyguard wake kwa kumuambia asubiri kwa ishara ya mkono.

Waziri wa Canada kama vile akahisi nyuma kuna mtu, akageuka ila Vladimir Putin akajifanya kumpoteza waziri huyo kwa kumgusa gusa sehemu ya juu ya mkono hili hasigundue chochote.

Canada haiongozwi na Rais kama Nchi nyingine, kiongozi mwenye madaraka makuu ni Waziri Mkuu.
 
Sa hapo tatzo nn huko kujichanganya kuko wapi? Wavaa makobazi na vipedo huwa wanaamin urusi na china ni waislam wenzao kwa taarifa yenu putin n mkristo wa orthodox karibia urusi yote n wakristo kupshana kwao na marekan au ulaya n mambo ya kmaslahi tu si dini peleken majin na makanzu yenu kule china muone mtakavyobondwa.
 
Sa hapo tatzo nn huko kujichanganya kuko wapi? Wavaa makobazi na vipedo huwa wanaamin urusi na china ni waislam wenzao kwa taarifa yenu putin n mkristo wa orthodox karibia urusi yote n wakristo kupshana kwao na marekan au ulaya n mambo ya kmaslahi tu si dini peleken majin na makanzu yenu kule china muone mtakavyobondwa.
Sasa Udini umeingiaje hapa.... Au kuna mahali nimeongelea Dini?

Mimi ni mkristo, ila hapo umejichanganya ofisaa.... Acha udini
 
Sa hapo tatzo nn huko kujichanganya kuko wapi? Wavaa makobazi na vipedo huwa wanaamin urusi na china ni waislam wenzao kwa taarifa yenu putin n mkristo wa orthodox karibia urusi yote n wakristo kupshana kwao na marekan au ulaya n mambo ya kmaslahi tu si dini peleken majin na makanzu yenu kule china muone mtakavyobondwa.
Sasa dini hapo imeingiaje yaan ww Una chuki Sana na uislam na moyo wao unakereketa Sana kuuona uislam kuwa ndio dini sahihi na kwamba dini pekee ni hiyo na zilizobaki zote ni miradi ya wazungu ,,Acha basi chuki uislam utaendelea kutamalaki hadi kiama kisimame na wala hautegemei msaada wa dola yyte unayofikiria wewe ni mungu mwenyewe atajua namna atakavyoupa ushindi ww juwa Tu kuwa ushindi ulimwenguni ni wa uislam hata kama sasa hivi uzayuni umetamalaki lkn utaangushwa siku si nyingi na ushindi upo ktk uislam na utautawala Ulimwengu hadi kiama kisimame lkn sio mashoga zako unaoamini wewe

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Sa hapo tatzo nn huko kujichanganya kuko wapi? Wavaa makobazi na vipedo huwa wanaamin urusi na china ni waislam wenzao kwa taarifa yenu putin n mkristo wa orthodox karibia urusi yote n wakristo kupshana kwao na marekan au ulaya n mambo ya kmaslahi tu si dini peleken majin na makanzu yenu kule china muone mtakavyobondwa.
Unayabebesha makalio yako mzigo mzito wakati ubongo wako upo free ila unautumia kwa kuwaza ushoga.
 
Sa hapo tatzo nn huko kujichanganya kuko wapi? Wavaa makobazi na vipedo huwa wanaamin urusi na china ni waislam wenzao kwa taarifa yenu putin n mkristo wa orthodox karibia urusi yote n wakristo kupshana kwao na marekan au ulaya n mambo ya kmaslahi tu si dini peleken majin na makanzu yenu kule china muone mtakavyobondwa.
Kijana huyo ustaz aliekulawiti nenda tu katoe taarifa polisi umfungulie mashtaka lakini sio kulawitiwa na muislam mmoja uichukie dini nzima maana chuki mpk inakutoa akili mada hata km haihusu mambo ya dini ww unaingiza mambo ya dini
 
Sasa dini hapo imeingiaje yaan ww Una chuki Sana na uislam na moyo wao unakereketa Sana kuuona uislam kuwa ndio dini sahihi na kwamba dini pekee ni hiyo na zilizobaki zote ni miradi ya wazungu ,,Acha basi chuki uislam utaendelea kutamalaki hadi kiama kisimame na wala hautegemei msaada wa dola yyte unayofikiria wewe ni mungu mwenyewe atajua namna atakavyoupa ushindi ww juwa Tu kuwa ushindi ulimwenguni ni wa uislam hata kama sasa hivi uzayuni umetamalaki lkn utaangushwa siku si nyingi na ushindi upo ktk uislam na utautawala Ulimwengu hadi kiama kisimame lkn sio mashoga zako unaoamini wewe

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
unataka uislamu usichukiwe wakati huo aya za Quran zimefundisha kutowafanya marafiki wala ndugu wasio waislamu sasa hapo unasemaje? Kivipi uislamu utatawala dunia wakati kuna aya inasema uislamu ulikuja mgeni na utaondoka ukiwa mgeni? Halafu unaposema ni ukristo ni mradi wa wazungu unamaanisha nini?
 
Sa hapo tatzo nn huko kujichanganya kuko wapi? Wavaa makobazi na vipedo huwa wanaamin urusi na china ni waislam wenzao kwa taarifa yenu putin n mkristo wa orthodox karibia urusi yote n wakristo kupshana kwao na marekan au ulaya n mambo ya kmaslahi tu si dini peleken majin na makanzu yenu kule china muone mtakavyobondwa.
Wewe mtoto umezaliwa gesti, hata kupiga mswaki hujui, acha chuki, mambo ya chuki hayakujengei future mrembo.
 
Sa hapo tatzo nn huko kujichanganya kuko wapi? Wavaa makobazi na vipedo huwa wanaamin urusi na china ni waislam wenzao kwa taarifa yenu putin n mkristo wa orthodox karibia urusi yote n wakristo kupshana kwao na marekan au ulaya n mambo ya kmaslahi tu si dini peleken majin na makanzu yenu kule china muone mtakavyobondwa.
Waabudu mfu mnakazi sana na kubarikiwa kwenu
 
Putin mwenyewe KGB hapo hahitaji bodyguard anammudu angeona anazingua angemshushia kichapo mwenyewe
 
Sasa Udini umeingiaje hapa.... Au kuna mahali nimeongelea Dini?

Mimi ni mkristo, ila hapo umejichanganya ofisaa.... Acha udini
Sa hapo tatzo nn huko kujichanganya kuko wapi? Wavaa makobazi na vipedo huwa wanaamin urusi na china ni waislam wenzao kwa taarifa yenu putin n mkristo wa orthodox karibia urusi yote n wakristo kupshana kwao na marekan au ulaya n mambo ya kmaslahi tu si dini peleken majin na makanzu yenu kule china muone mtakavyobondwa.
Choosen, usiamini anachosema maana hawa wavaa makobazi kuongopa kwa ajili ya kumtetea Shetani wao Allah imo kwenye damu; wanaita hiyo ni TAQIYYA
 
Back
Top Bottom