Waziri Mkuu Pinda angeomba radhi kwa watanzania ili kurudisha heshima yake

kwa upumbavu wao wanafumba macho na kwa upumbavu wa polisi watekeleza upumbavu iliotolewa na waziri mkuu mpumbavu.
 
Hata sisi raia pia tuna haki ya kujitetea, ukiona jeshi la wapumbavu linakupiga na wewe jitete kufa kiume. Pigana nao mpaka mpumzi ya mwisho. Ukiwaona polisi wanakuja kukukamata basi ujiandae na mapigano usikubali kupigwa.
Pinda ni mpumbavu :glasses-nerdy:

Piga!... na watoto wao piga!.
 
Kweli pinda amepinda mpaka anajipindisha hata kwenye maamuzi yake mwenyewe ambapo hata mwenyeakili za kawaida kabisa asingeweza kutoa kauli hatarishi km hizo! Shame on him.
 
Kufuatia Mh.Waziri Mkuu Pinda kutoa kauli bungeni kuwa watu kama hawa fuati sheria wakipigwa wasilalamike,ni heri akawaomba radhi watanzania na kuifuta kauli yake hiyo kwa sababu zifuatazo:

1.Katiba ya nchi hii haisemi mtu akishindwa kufuata sheria apigwe,bali ashtakiwe mahakamani.

2.Hakuweka wazi watu hao wapigwe kwa kufuata utaratibu gani ili kuepusha vifo,kuvunjwa viungo nk,kwani hata wale wanafunzi mashuleni wanaopigwa viboko,kuna utaratibu maalumu wa kutekeleza adhabu hiyo.

3.Hakuweka wazi kama ndiyo kauli na maagizo ya serikali au ni kauli iliyotokana na utashi wake mwenyewe. Kama ni kauli ya serikali,ni kupitia waraka gani?

4.Kwakuwa hata viongozi nao huwa wakati mwingine wanatukosea wananchi,je pia nao wapigwe au ni kwa raia tu?

5.Haja weka wazi kama kupigwa kwa Dr.Ulimboka,Absalom Kibanda,Daudi Mwangosi ni utekelezwaji wa maagizo yake au laa.

6.Hakuweka wazi kama hao wapigaji watalindwa vipi,maana tunakaa nao huku huku mitaani katika nyumba za kupanga,je kama raia wataamua kuwafanyia hujuma kwa kulipiza kisasi na hata kuwanyima hata hizo nyumba za kupanga na mambo mengine ya kijamii.

Naomba kuwasilisha.
NB:Naomba kutoa tahadhari,haya niliyo yaandika ni mawazo yangu binafsi,na sns lengo la kutaka kuchochea watu wafanye niliyoyasema,bali ni kutaka kutoa tahadhari kwasababu za kibinadamu,baadhi ya matamko yakitolewa na kiongozi wa juu wa serikali hupewa tafsiri pana.

Hapana, angelia kwanza kama kawaida yake
 
Huyu mtu aliwahi kulia eti kwa kuwapenda watanzania, kumbe ilikuwa geresha. Alivaa ngozi ya kondoo kumbe mbwa mwitu! Kiongozi hakustahili kuruhusu haki za binadamu kuvunjwa! Polisi sio wabaya, wabaya ni akina Pinda wanaowatuma wavunje sheria na kukiuka haki za binadamu. Time will tell!
 
baada ya kauli ya waziri mkuu kuhusiana na kupiga watu,endapo watakaidi na kuvunja shelia mm nilikuwa na mpangaji wangu police nimempa notice ahame ili siku nikishikwa anipige bila kunionea huruma.eti waziri mkuu anaongea upumbavu, inashangaza sana. hawa magamba hawa, sasa itafika siku itamkuta na yeye sabb sikuhiz mtoto cdm baba gamba.
 
It is shocking to have a prime minister who openly and clearly advocates police brutality while addressing the Parliament. Where are the social activists?
 
Kufuatia Mh.Waziri Mkuu Pinda kutoa kauli bungeni kuwa watu kama hawa fuati sheria wakipigwa wasilalamike,ni heri akawaomba radhi watanzania na kuifuta kauli yake hiyo kwa sababu zifuatazo:

1.Katiba ya nchi hii haisemi mtu akishindwa kufuata sheria apigwe,bali ashtakiwe mahakamani.

2.Hakuweka wazi watu hao wapigwe kwa kufuata utaratibu gani ili kuepusha vifo,kuvunjwa viungo nk,kwani hata wale wanafunzi mashuleni wanaopigwa viboko,kuna utaratibu maalumu wa kutekeleza adhabu hiyo.

3.Hakuweka wazi kama ndiyo kauli na maagizo ya serikali au ni kauli iliyotokana na utashi wake mwenyewe. Kama ni kauli ya serikali,ni kupitia waraka gani?

4.Kwakuwa hata viongozi nao huwa wakati mwingine wanatukosea wananchi,je pia nao wapigwe au ni kwa raia tu?

5.Haja weka wazi kama kupigwa kwa Dr.Ulimboka,Absalom Kibanda,Daudi Mwangosi ni utekelezwaji wa maagizo yake au laa.

6.Hakuweka wazi kama hao wapigaji watalindwa vipi,maana tunakaa nao huku huku mitaani katika nyumba za kupanga,je kama raia wataamua kuwafanyia hujuma kwa kulipiza kisasi na hata kuwanyima hata hizo nyumba za kupanga na mambo mengine ya kijamii.

Naomba kuwasilisha.
NB:Naomba kutoa tahadhari,haya niliyo yaandika ni mawazo yangu binafsi,na sns lengo la kutaka kuchochea watu wafanye niliyoyasema,bali ni kutaka kutoa tahadhari kwasababu za kibinadamu,baadhi ya matamko yakitolewa na kiongozi wa juu wa serikali hupewa tafsiri pana.

Maji ya Mtoto wa Mkulima yamemwagika. Hayazowi.
 
Anatafakari namna ya kuja na hoja ya kuomba radhi kutokana na kauli yake,ingawa hatasema SAMAHANI bali ataelezea namna ambavyo amenukuliwa vibaya kwa matamshi yake.

Hata akiomba radhi damage kubwa imeshafanyika kwa reputation ya serekali.
 
Martin Luther alisema;" We must learn to live like Brothers or else we will perish like fools." Huyu mzee wetu, ulimi uliteleza tu. Tusimtukane, yeye akitukanwa ni Watanzania wote wametukanwa. Tumwombee apate HEKIMA ili atuongoze vyema kipindi hiki kilichobaki kabla hajakabidhi madaraka kwa cdm.
 
We uliwahi kuona viongozi wa TZ wakiomba radhi? kama uliwahi ona ni mara chache sana. Usimtegemee Pinda kuomba radhi, hasa kama hajalijua kosa; na hata kama amelijua kosa viongozi wetu si wepesi wa kukiri kushindwa. Mi nakushauri usipoteze muda wako wa thamani kungojea Pinda na wenziwe waombe msamaha!
 
wagongwe tuuuuuuuuu
Wasema hivi sababu unalindwa na hili jeshi.Lakini kumbuka siku wakichoka itakula kwako.Usipende kutoa neno lisilofaa kwa watanzania wa kawaida maana ndiyo wanaodhulimiwa haki zao za msingi.Kuna mfalme kwenye biblia hakuomba utajiri bali hekima ili aweze kuwaongoza vyema watu wake.PM wetu ni mkristu tena mkatoliki alitakiwa kuomba hekima badala ya utajiri au cheo.
 
Nilijua tu hii kauli itakuja kumtesa sana pinda. Hivi angekaa kimya ingekuwaje?

wewe unahisi Mhe Pinda ndio kasema sawa hiivo, kwahivo unahisi anaonewa, angekaa kimywa asingeonekana mpumbavu

ikiwa ni piga piga tu, kwanini kuwe na vituo vya polisi, mahakama, jela. nadhani unajuwa kwamba mahakama na jela ni taasisi zinazogharimu sana serikali, ikiwa polisi wanahaki ya kuchukuwa hatua mikononi mwao bila kupitia vichochoro vya sheria si bora taasisi hizo zivunjwe tu, pesa za umaa badala yake zitumike kujengewa hazanati, maskuli na mahospitali na taasisi nyengine zinazohitjia kuangaliwa zaidi
 
Simiyu ningekuomba usome Proverb:10;11-17.Ukipata maana ya mistari hiyo hutawalaumu wanaomwambia PM kuwa ni Mpumbavu.Chukua muda na usome utaelewa vyema.
 
tusitumie social media kupotosha,kaka hayo unayoeleza hayahusiani na msimamo wa serikali kupitia kauli ya PM bungeni,,we should not use a gun to kill mosquito....
 
Kwa hili la PM, ningependa tukumbushane wimbo alioimba Bob Marley katika sherehe za uhuru wa Zimbabwe mpaka ukamgusa Mwl. Nyerere:

Every man gotta right
To decide his own destiny
And in this judgment
There is no partiality
So arm in arms, with arms
We will fight this little struggle
'Cause that's the only way
We can overcome our little trouble
Brother you're right, you're right
You're right, you're right, you're so right
We gonna fight, we'll have to fight
We gonna fight, fight for our rights
Natty dread it ina Zimbabwe
Set it up ina Zimbabwe
Mash it up ina Zimbabwe
Africans a liberate Zimbabwe
No more internal power struggle
We come together, to overcome
The little trouble
Soon we will find out
Who is the real revolutionary
'Cause I don't want my people
To be contrary
Brothers you're right, you're right
You're right, you're right, you're so right
We'll have to fight, we gonna fight
We'll have to fight, fighting for our rights
Mash it up ina Zimbabwe
Natty trash it ina Zimbabwe
I and I a liberate Zimbabwe
Brother you're right, you're right
You're right, you're right, you're so right
We gonna fight, we'll have to fight
We gonna fight, fighting for our rights
To divide and rule
Could only tear us apart
In everyman chest
There beats a heart
So soon we'll find out
Who is the real revolutionaries
And I don't want my people
To be tricked by mercenaries
Brother you're right, you're right
You're right, you're right, you're so right
We gonna fight, we'll have to fight
We gonna fight, fighting for our rights
Natty trash it ina Zimbabwe
Mash it up ina Zimbabwe
Set it up ina Zimbabwe
Africans a liberate Zimbabwe
Africans a liberate Zimbabwe
Natty dub it ina Zimbabwe
Set it up ina Zimbabwe
Africans a liberate Zimbabwe
Every man got a right
To decide his own destiny



My take: Watawala wajue kusoma alama za nyakati.
 
Back
Top Bottom