Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 16,149
- 21,133
Nadhani hukuelewa bandiko langu,soma tena.Mbona hawaongezi sasa
Nadhani hukuelewa bandiko langu,soma tena.Mbona hawaongezi sasa
Sawa Mr .. Sijui spadeUkweli utasemwa siku zote hata kama watu hamuupendi.
Siwezi kamwe kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.Lipi nimesema hapo ambalo sio logic.Tatizo la Watanzania ni kwamba tunapenda kupindisha pindisha sana mambo na unafiki.Mimi sio mnafiki,I call a spade a spade.
Fine,call me anything,mbulula or whatever,ila nimesema mwajiri ndiye kashika mpini,so do not regret.Mbulula kweli wewe yaani mtu ana njaa afanye kazi kwa bidii labda awe na mtindio wa ubongo
Tija na ubora wa kazi kama hakina vitendea kazi hamna kitu (work done=0) , hivi unafikiri india wanatuzidi nini zaidi kwenye matibabu? Ni vitendea kazi tu!Hili suala ni two ways traffic, unapomwambia mtu aongeze tija lazima umpe vitendea kazi vyote vya kufanyia kazi ili uwe na uhalali wa kudai tija. Wafanyakazi wengi wa serikali ni waalimu na watumishi wa wizara ya afya...... nenda kwenye maeneo yao ya kazi ujionee hali halisi halafu uniambie hiyo tija itaongezwaje?
Aliyoongea Waziri Mkuu ni sawia kabisa.Swala la kuongezwa mshahara ni siri ya mtu.Ni kweli pia kwamba nyongeza za mishahara zikitangazwa hadharani,bei zinapanda mno mpaka kufikia hata kiwango cha ku-nullify hiyo nyongeza yenyewe.Haya tumeyaona huko nyuma.
Hata hivyo watumishi nao wasiishie kudai increments tu na kupandishwa madaraja,waongeze tija,jambo ambalo limekuwa kero sana kwa serikali.Hii itaipa hata serikali incentive,morale na enthusiasm ya kuongeza mishahara na kupandisha madaraja.[/QUOTE
Tija bila vitendea kazi? Srikali ingekua serious kununua vitendea kazi kama inavyonunua versions za Landcruiser VX tungekua mbali sana hasa sekta ya afya!
Na moyo wa wafanyakazi unakufa zaidi pale ambapo wanasiasa wanaopiga blaa blaa ndio wenye maisha mazuri, wanaabudiwa na wanawapiga mkwara wafanyakazi na kufanya mahali pa kupatia kiki za kijinga!Najua mazingira yote ya wafanyikazi wa Tanzania na kwamba kweli sio mazuri sana kihivyo.Lakini hivi unaweza kuniaminisha kwamba elimu duni wanayopata watoto wetu haiwezi
ku-improve katika mazingira yaliyopo kama waalimu watajituma zaidi?Je,wagonjwa wetu hawawezi kupata better care and treatment katika mazingira yaliyopo?Je,wakulima wetu hawawezi kupata ushauri bora zaidi kutoka kwa VEOs katika mazingira yaliyopo kama VEOs watajituma zaidi na barabara zetu haziwezi kuwa bora zaidi kama road engineers wetu watakuwa waaminifu na makini zaidi nk.nk.? No,nathani there is room for improvement, ila hakuna nia ya dhati,uwezo au ubunifu wa kutosha wa kufanya hivyo.Tupo Tanzania wote, we know this is true,but there is no initiative and will to do not that!Yes, hii kitu ni two way traffic,lakini reason must prevail,mwajiriwa ndiye wa kuchukua the first step.Tusisahau kwamba mwajiri ndiye kashika mpini.