Wakenya wana misimamo yao, na nidhamu ya uoga kwao mwiko! Lol
Afternoon Ab-Titchaz, Huyu naye ni vipi. mukutano ilikuwa na lengo tofauti naye PM akapeleka mengine wasiweze kumstahimili.
Heshima yako Kabaridi,
....mbona hii habari ni ya kitambo tu sana? Ama nd'o mtindo wako wa siku hizi kufukua nyuzi za tenee?...:biggrin:
...Anyway Agwambo had the last laugh on this matter...Gbagbo wa KO'd and is now a resident at The Hague na Ping
nadhani yupo yupo tu. Meanwhile Raila remains the PM of Kenya...au sio?
Swadaktaa.
Heshima yako Kabaridi,
....mbona hii habari ni ya kitambo tu sana? Ama nd'o mtindo wako wa siku hizi kufukua nyuzi za tenee?...:biggrin:
...Anyway Agwambo had the last laugh on this matter...Gbagbo wa KO'd and is now a resident at The Hague na Ping
nadhani yupo yupo tu. Meanwhile Raila remains the PM of Kenya...au sio?
Swadaktaa.
Ab-Titchaz,
Ninachojua nikuwa Raila ni mkaidi maana alikaidi protokali ya AU...Sasa hiyo ndio tatizo hata protokali ya AU anakaidi
Mkuu,
to be sincere with you I have less regard for that thing called AU...countries are better off as regional
blocs than in this reckless body. Kwa hivyo hata hiyo protokali yao sioni umuhimu wake iwapo hawaongei
juu ya kukandamizwa kwa haki wa waafrika na baadhi ya hawa mabepari wanaojiita ma-Rais.
That's all I will say for now on that matter.
P.S. Raila ni mkaidi kivipi?
Sijui tumtume Raila DRC kwa kabila au Rwanda kwa kagame najua wakipuuza kumsikia lol watajipata uholanzi.
Kibaridi, kwenye red, hiyo match naomba nistue, hata kwa kiingilio nitakopa bank!