Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
Wakuu,
Ukurusa wa mbele wa gazeti la mwananchi la leo kuna habari hii ya kukatisha tamaa ya serikali kuishiwa na fedha. Gazeti limeandika, Akijiba swali la Mbunge wa Singida Magharibi, Mohamed Misanga, Waziri Mkuchika amekiri kuwa hali ya serikal kifedha ni mbaya ndiyo maana halmashauri zote nchini hazina fedha za kuendesha mambo mabali mbali ya kiutendaji. Waziri akinukuliwa gazetini alisema;
Kiwango cha fedha ni kidogo na hili liko mikononi mwa waziri mkuu. Akaendelea.
Tatizo hilo ni kubwa mpaka chama cha Serikali ya mitaa (ALAT) kimeomba kukutana na uongozi wa juu ili kuzungumzia tatizo hilo.
Aliendelea
Halmashauri zote nchini zina ukata wa fedha unaotokana na matatizo ya kifedha ambazo kwa muda mrefu hazijapelekwa huko, ..hata fedha za mwaka jana hazijapatikana na kupelekwa kwenye Halmashauri. Mbaya zaidi, waziri huyo alishindwa kuwaeleza wabunge ni lini fedha hizo zitapelekwa huko.
My question
Hivi kama serikali inakiri kuwa haina fedha za maendeleo zaidi mishahara inayolipwa kwa Mbinde mwaka 2012 itawezaje kutufikisha 2015? Kukuru kakara za kuchakachua matokeo ya Urais kumbe hawajui suluhisho la matatizo yetu?
Kwa kuwa Mwl Nyerere alisema kuwa Serikali inayokula rushwa haiwezi kukusanya kodi, - itaanguka, na
kwa kuwa tayari hali hii imeshajitokeza tangu 2011, shughuli zote za maendeleo zimesimama na
Kwa kuwa bado miaka 4 Serikali hii imalize muda wake
Je, si kwamba kauli ya mwl Nyerere itatima kabla ya mwaka 2015?
Nawasilisha.
Ukurusa wa mbele wa gazeti la mwananchi la leo kuna habari hii ya kukatisha tamaa ya serikali kuishiwa na fedha. Gazeti limeandika, Akijiba swali la Mbunge wa Singida Magharibi, Mohamed Misanga, Waziri Mkuchika amekiri kuwa hali ya serikal kifedha ni mbaya ndiyo maana halmashauri zote nchini hazina fedha za kuendesha mambo mabali mbali ya kiutendaji. Waziri akinukuliwa gazetini alisema;
Kiwango cha fedha ni kidogo na hili liko mikononi mwa waziri mkuu. Akaendelea.
Tatizo hilo ni kubwa mpaka chama cha Serikali ya mitaa (ALAT) kimeomba kukutana na uongozi wa juu ili kuzungumzia tatizo hilo.
Aliendelea
Halmashauri zote nchini zina ukata wa fedha unaotokana na matatizo ya kifedha ambazo kwa muda mrefu hazijapelekwa huko, ..hata fedha za mwaka jana hazijapatikana na kupelekwa kwenye Halmashauri. Mbaya zaidi, waziri huyo alishindwa kuwaeleza wabunge ni lini fedha hizo zitapelekwa huko.
My question
Hivi kama serikali inakiri kuwa haina fedha za maendeleo zaidi mishahara inayolipwa kwa Mbinde mwaka 2012 itawezaje kutufikisha 2015? Kukuru kakara za kuchakachua matokeo ya Urais kumbe hawajui suluhisho la matatizo yetu?
Kwa kuwa Mwl Nyerere alisema kuwa Serikali inayokula rushwa haiwezi kukusanya kodi, - itaanguka, na
kwa kuwa tayari hali hii imeshajitokeza tangu 2011, shughuli zote za maendeleo zimesimama na
Kwa kuwa bado miaka 4 Serikali hii imalize muda wake
Je, si kwamba kauli ya mwl Nyerere itatima kabla ya mwaka 2015?
Nawasilisha.