Waziri Mchengerwa aipiga stop Kampuni ya Nyanza Road Works LTD isipewe kazi tena Serikalini

Uko sahihi Waziri hapaswi kutoka huko na kuvunja mkataba wa Mkandarasi na taasisi yoyote ya serikali maana kila kitu kimeelezwa niani ya mkataba na madhara yake nafikiri tuendelee kukemea utaratibu huu usiofaa wa kijima na kamwe haupaswi kushangiliwtu umeshatugharimu pesa nyingi sana.
Kweli ndugu yangu, wanasiasa wanapoenda kukagua miradi , inabidi wajue kuwa miradi mingi Huwa inandeshwa according to Conditions of Contract, ambayo huwa inaweka wazi, majukumu ya kila muhusika, na njia sahihi za kuchukuliwa iwapo contractor au Engineer au Client kashindwa kutimiza wajibu wake, na wala sio tu, kwa kiongozi kuja site na kutoa maamuzi/ maagizo bila kuzingatia Condition of Contract inasemaje! Kwani unakuta ,maagizo mengine ya viongozi wa kisiasa kwenye miradi ili kufurahisha watu, yanaweza leta hasara baadae Kwa upande wa Client/ Serikali kutokana na kutozingatia mambo yote muhimu kulingana na Conditions of Contract ambayo ni kama sheria na muongozo Mama kwenye miradi yoyote.....watz tujaribu na tuendelee kuendesha mambo kulingana na sheria na SI vinginevyo. Na ni jambo la ajabu wakati mwingine, mara nyingi utasikia kiongozi kaenda na kutoa maagizo kwenye mradi wenye tatizo, labda kufukuza au kukatisha mkataba wa contractor,wakati Engineer/ consultant alikuwepo,na angeweza kutoa maamuzi tatizo Hilo mapema, unless anakuwa alishindwa kufanya hivyo akijua kwamba matatizo yaliyopo ktk mradi yanakuwa yamechangiwa kiasi kikubwa na Client na sio Contractor au Contractor ni mtu mzito' ,hivyo hata akiboronga, Engineer/ Consultant amekuwa, akipata 'kigugumizi' cha kutolea maamuzi magumu.... kaazi kwelikweli
 
Kweli ndugu yangu, wanasiasa wanapoenda kukagua miradi , inabidi wajue kuwa miradi mingi Huwa inandeshwa according to Conditions of Contract, ambayo huwa inaweka wazi, majukumu ya kila muhusika, na njia sahihi za kuchukuliwa iwapo contractor au Engineer au Client kashindwa kutimiza wajibu wake, na wala sio tu, kwa kiongozi kuja site na kutoa maamuzi/ maagizo bila kuzingatia Condition of Contract inasemaje! Kwani unakuta ,maagizo mengine ya viongozi wa kisiasa kwenye miradi ili kufurahisha watu, yanaweza leta hasara baadae Kwa upande wa Client/ Serikali kutokana na kutozingatia mambo yote muhimu kulingana na Conditions of Contract ambayo ni kama sheria na muongozo Mama kwenye miradi yoyote.....watz tujaribu na tuendelee kuendesha mambo kulingana na sheria na SI vinginevyo. Na ni jambo la ajabu wakati mwingine, mara nyingi utasikia kiongozi kaenda na kutoa maagizo kwenye mradi wenye tatizo, labda kufukuza au kukatisha mkataba wa contractor,wakati Engineer/ consultant alikuwepo,na angeweza kutoa maamuzi tatizo Hilo mapema, unless anakuwa alishindwa kufanya hivyo akijua kwamba matatizo yaliyopo ktk mradi yanakuwa yamechangiwa kiasi kikubwa na Client na sio Contractor au Contractor ni mtu mzito' ,hivyo hata akiboronga, Engineer/ Consultant amekuwa, akipata 'kigugumizi' cha kutolea maamuzi magumu.... kaazi kwelikweli
Ndio maana tunamtaka Mchengerwa awasafishe
 
Nyanza road ilifaidika sana kipindi cha magufuli, hawa wahindi sijui walimpa nini magufuli wakawa kila tenda ni yao wao. Huyu waziri anajisumbua tu Nyanza road watapata kazi nyingi tu kupitia jina tofauti.
 

Kwa haraka moja kwa moja kwenye hoja,

Kasi ya Waziri wa TAMISEMI Mhe Mohammed Omary Mchengerwa inaleta matumaini mapya kwa Watanzania hasa wanyonge na walalahoi huko vijijini.

Kwasasa Tanzania inahitaji Viongozi aina ya huyu kijana ambaye ni jasiri na shupavu asiyependa sifa,kujisifia Wala kumwonea mtu, mkweli na mnyenyekevu kwa watu wote.

Mchengerwa anafanya maamuzi kama kiongozi bila kujali nini kitatokea nani atachukia au huyu nae ni mteule wa Rais ila tu kulinda Tanzania,Watanzania na rasilimali zao.

Tanzania tumekuwa na Viongozi wengi wasiopenda lawama wala kulaumiwa wenye kupenda kusifiwa na kufurahiwa na kila mtu hata kama ni mkosaji.

Tanzania ya leo inahitaji vijana jeuri na shupavu aina ya Waziri Mohammed Mchengerwa(MOM)

Kwamsiofahamu hii kampuni ya Nyanza Road Works Limited ni mfupa uliowashinda mawaziri wengi kwani inakazi sizizoisha karibu katika kila kona ila ilikuwa nani amfunge paka Kengele?


Kazi inaendelea Vizuri, Mchengerwa chapa Kazi Taifa linakufuatilia kwa ukaribu sana ongeza gia twende mbele.

===
Mchengerwa
 
Ndio maana tunamtaka Mchengerwa awasafishe
Sio kazi wala wajibu wa waziri kusitisha/kukatisha mkataba wa mkandarasi maana upo kisheria na taratibu za kusitisha mkataba zipo ndani ya mkataba utaratibu huu hupelekea serikali kushtakiwa kutokana na kukiuka mkataba na kupelekea hasara chonde mawaziri hebu punguzeni mihemuko. Mikataba ya barabara mara nyingi ina pande 2 (taasisi ya serikali na mkandarasi) na pia mkataba utaeleza msuruhishi na mpatanishi ni nani pale inapotokea kutokuelewana baina ya pande mobility za mkataba hivyo waziri hana uwezo wa kuvunja mkataba kiholela na tujiepushe kushangalia uvunjifu wa taratibu.
 
Back
Top Bottom