Waziri Makamba aelezea mafanikio ya mwaka mmoja wa rais Samia katika sekta ya Nishati

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
666
835
MUDA HUU

Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba Yupo Azam UTV akieleza Makubwa Yamefanyika Wizara ya Nishati Mwaka Mmoja wa uongozi wa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan Madarakani.

Kupitia link hapo chini👇🏿

 
MUDA HUU

Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba Yupo Azam UTV akieleza Makubwa Yamefanyika Wizara ya Nishati Mwaka Mmoja wa uongozi wa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan Madarakani.

Kupitia link hapo chini



Mafanikio wala hana haja ya kutumia nguvu nyingi kuyaelezea
 
Ccm kupiga mdomo tu wanajua waulize maendeleo sasa utasikia “ serikali inampango mkakati hadi 2055 iwe hivi hivi”
 
MUDA HUU

Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba Yupo Azam UTV akieleza Makubwa Yamefanyika Wizara ya Nishati Mwaka Mmoja wa uongozi wa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan Madarakani.

Kupitia link hapo chini👇🏿


Hivi nzi wetu wa taifa (CCM) ina ajenda ya kumsafisha rais?
 
Back
Top Bottom