Kitendo cha waziri kiongozi wa zanzibar kusema hadharani kwamba tanzania tunaibiwa katika mgodi wa tanzanite imetofautiana na mkuu mwenzake katika wizara ya madini ambapo alisema tanzania inapata inachostaili kupata,
je hii inamaanisha serikali haina takwimu au nani amekurupuka?
je kama yeye ameona tunaibiwa amechukua hatua gani mpaka sasa
je hii inamaanisha serikali haina takwimu au nani amekurupuka?
je kama yeye ameona tunaibiwa amechukua hatua gani mpaka sasa