Waziri John Magufuli hili la kuvunja jengo la TANESCO Ubungo tumia busara

nikisome threrad nikakuta mtu anasema lefu badala ya refu napata kichefuchefu . Hadi leo huwezi tofautisha ? Shenzi
 
wewe ndiyo mwehu mara 100 ya Magufuri a focus kujenga barabara!?, hizo barabara zina pita wapi?

Morogoro Highway na Mandela Express way ni muhimu zaidi kuliko Jengo la TANESCO.
Ukitaka kumwua nyani usimtazame usoni utamwacha na kesho utajutia kukuta mabua tu shambani. Usitazame uzuri wa jengo ila fikiria mfumo wa MIUNDOMBINU ya uchumi wa nchi. Kiasi gani cha pesa kinapotea kwa sababu miundombinu mibovu.
Kwa aliyebuni ujenzi wa jengo la Tanesco pale ni sifuri kwa vile hakuwa na upeo mkubwa wa kuangalia miundombunu mingine na lazima litabomolewa tu.
 
Nilishasema tena na tena, Watu ambao hawajasomea Ujenzi na zaidi zaidi hawajasomea vitu kama Urban Planing na mwisho kumalizia kwa kusema mtu ambaye hajasomea Road design, ni heri ukanywe maji na ulale salama.

Nashukuru kwa wale ambao wanachangia na unaona kweli ingawa hajasomea haya mambo, lakini kichwani zinachemka.

Mtu anakuja na kusema kuwa hapo kwenye jengo, basi barabara ipindishwe, khaaaa!!!!!

Kwenye barabara za mijini na mitaa, huwa ni zaidi ya BARABARA kama nyie mnavyoona.

Kuna siku, huko pembeni ndiyo kutajengwa Drinage Systems za maji machafu kutoka majumbani na ya mvua kutoka barabarani na kwenye majumba ya watu. Hii inapunguza maji kuzagaa ovyo na kutengeneza mazalia ya mbu.

Huko pembeni, kunatakiwa kuwe na Mabomba ya Nyaya za umeme, simu, Internet, TV Cables etc. Haya mabomba, yanatakiwa kuna umbali fulani kutoka bomba moja kwenda jingine.

Huko pembeni, siku moja itabidi kuweka bomba la NJANO, yes, bomba la GAS. Hili nalo linataka umbali kadhaa kutoka kwenye mambomba mengine na umbali kadhaa kutoka mwisho wa lane za barabara.

Siku moja, wataweka bomba kubwa sana la maji kutoka Mlandizi/Ruvu juu. Hili nalo kwa sababu za kiusalama, inabidi liwekwe umbali kadhaa kutoka kwenye mambomba mengine na mwisho wa barabara.

Sasa jengo karibu namna hiyo, hebu fikiri likichimbwa na kutandikwa bomba la gas, likilipuka hapo, si jengo zima na watu ndani yake watakaangwa? Hivi nyie mnaishi karne ya ngapi?

Kitu pekee ambacho Magufuli anachemsha ni kuwa, inabidi awaulize wajenzi, ni nani hasa aliruhusu ujenzi kuwa karibu namna hiyo na barabara? Akipatikana basi yeye na mali zake wafilisiwe. Hawa ndiyo wanaotia aibu fani ya UJENZI. Jitu linakurupuka na kujenga vitu ndani ya barabara bila ya kujua, kuna siku barabara ile inabidi zijengwe hata lane 8 kuingia mjini na 8 kutoka mjini. Sasa kukiwa na lane hata 10 tu, inamaana 10x3=30m. Hapo ongeza na pavements, sehemu za waendesha baiskeli, na za kuweka hizo bomba hapo juu, tayari uko ndani ya jengo la pili.

Wanasiasa wameharibu sana fani ya ujenzi. Mtu kama Mwiba angelikuwa Rais, ndiyo walewale. Kuhalalisha kosa kwa sababu tu kulisahihisha ni aghali sana. Watu wanatakiwa kuwa wanafilisiwa ili kufidia gharama, basi watakuwa mahiri na kazi zao.
 
images
74022114.jpg
images
images
images
images
images
images
images
images
images
images
images


Taswira hizi zinaashiria wazi ujenzi wa miundombinu umeathiri mengi ikiwa ni majengo na makazi ya watu, uzuri huo ni kutokana na sacrifice otheri wise we can't get development we are dreaming daily. Watoto wetu wataabike kama tunavyotaabika? La hasha lazima kujitosa sasa.
 
Nilishasema tena na tena, Watu ambao hawajasomea Ujenzi na zaidi zaidi hawajasomea vitu kama Urban Planing na mwisho kumalizia kwa kusema mtu ambaye hajasomea Road design, ni heri ukanywe maji na ulale salama.

Nashukuru kwa wale ambao wanachangia na unaona kweli ingawa hajasomea haya mambo, lakini kichwani zinachemka.

Mtu anakuja na kusema kuwa hapo kwenye jengo, basi barabara ipindishwe, khaaaa!!!!!

Kwenye barabara za mijini na mitaa, huwa ni zaidi ya BARABARA kama nyie mnavyoona.

Kuna siku, huko pembeni ndiyo kutajengwa Drinage Systems za maji machafu kutoka majumbani na ya mvua kutoka barabarani na kwenye majumba ya watu. Hii inapunguza maji kuzagaa ovyo na kutengeneza mazalia ya mbu.

Huko pembeni, kunatakiwa kuwe na Mabomba ya Nyaya za umeme, simu, Internet, TV Cables etc. Haya mabomba, yanatakiwa kuna umbali fulani kutoka bomba moja kwenda jingine.

Huko pembeni, siku moja itabidi kuweka bomba la NJANO, yes, bomba la GAS. Hili nalo linataka umbali kadhaa kutoka kwenye mambomba mengine na umbali kadhaa kutoka mwisho wa lane za barabara.

Siku moja, wataweka bomba kubwa sana la maji kutoka Mlandizi/Ruvu juu. Hili nalo kwa sababu za kiusalama, inabidi liwekwe umbali kadhaa kutoka kwenye mambomba mengine na mwisho wa barabara.

Sasa jengo karibu namna hiyo, hebu fikiri likichimbwa na kutandikwa bomba la gas, likilipuka hapo, si jengo zima na watu ndani yake watakaangwa? Hivi nyie mnaishi karne ya ngapi?

Kitu pekee ambacho Magufuli anachemsha ni kuwa, inabidi awaulize wajenzi, ni nani hasa aliruhusu ujenzi kuwa karibu namna hiyo na barabara? Akipatikana basi yeye na mali zake wafilisiwe. Hawa ndiyo wanaotia aibu fani ya UJENZI. Jitu linakurupuka na kujenga vitu ndani ya barabara bila ya kujua, kuna siku barabara ile inabidi zijengwe hata lane 8 kuingia mjini na 8 kutoka mjini. Sasa kukiwa na lane hata 10 tu, inamaana 10x3=30m. Hapo ongeza na pavements, sehemu za waendesha baiskeli, na za kuweka hizo bomba hapo juu, tayari uko ndani ya jengo la pili.

Wanasiasa wameharibu sana fani ya ujenzi. Mtu kama Mwiba angelikuwa Rais, ndiyo walewale. Kuhalalisha kosa kwa sababu tu kulisahihisha ni aghali sana. Watu wanatakiwa kuwa wanafilisiwa ili kufidia gharama, basi watakuwa mahiri na kazi zao.

You said it very good.

Tuangalie kwanza kwa kuvunja jengo la tanesco tunafaida gani na harasa gani.. kama hasara zinazidi faida then its not a good decision. Ila kama faida zinazidi hasara then lets move on, tubomoe tusonge mbele.

Alafu kulinganisha makosa aliyofanya Mangufuli mwanzo na mema anayofanya sasa hivi, haibadilishi mema kuwa mabaya. Yeye kama mangufuli anamakosa aliyoyafanya na pia mazuri mengi aliyoyafanya na ambayo anaendelea kuyafanya.
 
Huyu jamaa anatakiwa ku focus attention yake kwenye kujenga barabara. Badala yake sasa ana focus attention yake yote kwenye kubomoa majengo ambayo yamekuwepo hapo kwa zaidi ya miaka kumi sasa. Huu ni wenda wazimu!

Picha ya hapo chini ni plan ya ujenzi wa makutano ya Barabara Kuu ya Morogoro na Mandela Express way Pale Ubungo.
Hayo madaraja, nguzo na ramps zitapitishwaje juu ya jengo la Tanesco kama si kubomolewa kwanza? Kama hatujui tujaribu kuwauliza wenye ujuzi na mambo ya ujenzi na survey vinginevyo tunachosha bure akili za watu.
images
images
images
 
Wahandisi, wakandarasi, wapima, wasanifu na wachoraji inabidi wafikirie nje ya boksi waje na kitu kama hiki ili kuokoa hayo majengo na barabara ya Morogoro, hasa kwa wale wanaopendekeza kujengwe makutano ya juu (flyover) ubungo. Angalia hizi picha ya barabara na michepuko yake iliojengwa nchini Japan. Baada ya hapo mshaurini Waziri wa Ujenzi afanye nini?

t_91120100420265329.JPG

Highway-japan.jpg


Excerpt from Gate Tower Building:
The highway is the tenant of these floors. The building elevator does not stop on floors 5, 6 and 7, floor 4 being followed by floor 8. These floors consist of elevators, stairways, machinery and the like. The highway passes through the building as a bridge, held up by supports and making no contact with the building itself. The building has a double core construction with a circular cross section, and special care is taken by providing surrounding structure to the highway to protect the building from noise and vibration. Generally, expressways are built underground, and passing through a building is an extremely rare feature whose origin dates back to 1983, when the redevelopment of this area was decided upon. Building permits were refused because the highway was already being planned to be built over this land. The property rights' holders refused to give up, and negotiated with the Hanshin Expressway Corporation for approximately 5 years to reach the current solution.




 

Attachments

  • pic 2.jpg
    pic 2.jpg
    55 KB · Views: 150
  • pic1.JPG
    pic1.JPG
    14.5 KB · Views: 154
Hifadhi ya Barabara ni kwa sababu ya public services and utilities ikiwema; umeme, maji, simu, internet, mobile toilets, e.t.c. Jengo la TANESCO ni public services kwa maana kwamba wameamua badala ya kuweka nguzo za umeme waweke sehemu ya ofisi yao ili kurahisisha public service, sasa mzee Pombe atuambia anataka kuondoa public service and utilities ili public ipate wapi huduma?

Duuhh hii kali na ya aina ya kipekee kabisa aisee..............jamani acheni masihara jamani duuhh.......kwi kwi kwi kwi
 
Nakumbuka msemo wa kikwetu usemao "...Ukimsifu mgema tembo hulitia maji...! Magufuli amesema yale majumba ya shirika la umeme yanayoleta mandhari ya aina yake hapa jijini yaliyojengwa kwa mabilioni ya shilingi ni lazima yavunjwe eti yamejengwa kwenye sehemu iliyohifadhiwa kwa ajili ya kupita barabara.

Huyu mtu kama hana wazimu atakuwa na kitu gani hivi anafikiria hela iliyotumika ni hela ya serikali, ? Au ya shirika la umeme ,akili za watu wengine zinakuwa za ajabu ajabu ,anachotaka ni kuwapa tanesco eneo jingine wajenge upya ,kwa maana kwa dau hilo hela ingine itapatikana na wajanja kupata chao.

Mtu huyu alikuwa wapi wakati majumba hayo yakijengwa ?Serikali ilikuwa wapi ?
Tanescobuild.jpg
Unaenda kuvunja mijumba hiyo kwenye nchi ambayo uchumi wake ni wa kubahatisha au wakuu mnataka na kutafuta njia mbadala ya kufanya ufisadi,

Yavunjwe ndio, mbona ya wananchi yanavunjwa na kale ka TANROADS kalivunjwa. Hata kwa macho yangu nikipita pale ubungo toka yanaanza kujengwa ni dhahiri yapo kwenye eneo la barabara. Wa kuwajibika ni yule aliyeidhinisha ujenzi wa majengo hayo kuanzia manispaa ya kinondoni, jiji na wizara ya ardhi ikiwemo na ya miondombinu. Na hii si ndio maana ya rule of law?
 
Mtu huyu alikuwa wapi wakati majumba hayo yakijengwa ?Serikali ilikuwa wapi ?

Nadhani wenye wazimu ni wale waliojenga hilo jengo wakiwa na ufahamu ni hifadhi ya barabara Magufuli yeye ni mtekelezaji wa sera na sheria zilizopo...
 
songa mbele magufuli livunje hata leo haiwezekani sheria kupindishwa kisa mjenzi kaingia gharama kubwa.
Wenye makosa ni wale walioridhia ujenzi wa jengo hilo kwenye hifadhi ya barabara.

tulipinga Zitto na hoja ya kuinunua mitambo ya Dowans kwa kupindisha sheria ya manunuzi iwaje leo turuhusu sheria za mabarabara zivunjwe?
 
Nakumbuka msemo wa kikwetu usemao "...Ukimsifu mgema tembo hulitia maji...! Magufuli amesema yale majumba ya shirika la umeme yanayoleta mandhari ya aina yake hapa jijini yaliyojengwa kwa mabilioni ya shilingi ni lazima yavunjwe eti yamejengwa kwenye sehemu iliyohifadhiwa kwa ajili ya kupita barabara.

Huyu mtu kama hana wazimu atakuwa na kitu gani hivi anafikiria hela iliyotumika ni hela ya serikali, ? Au ya shirika la umeme ,akili za watu wengine zinakuwa za ajabu ajabu ,anachotaka ni kuwapa tanesco eneo jingine wajenge upya ,kwa maana kwa dau hilo hela ingine itapatikana na wajanja kupata chao.

Mtu huyu alikuwa wapi wakati majumba hayo yakijengwa ?Serikali ilikuwa wapi ?
Tanescobuild.jpg
Unaenda kuvunja mijumba hiyo kwenye nchi ambayo uchumi wake ni wa kubahatisha au wakuu mnataka na kutafuta njia mbadala ya kufanya ufisadi,

hivi hao tanesco unaona wana faida yoyote?mafisadi tu,.ivunjwe
 
Huyu jamaa anatakiwa ku focus attention yake kwenye kujenga barabara. Badala yake sasa ana focus attention yake yote kwenye kubomoa majengo ambayo yamekuwepo hapo kwa zaidi ya miaka kumi sasa. Huu ni wenda wazimu!

Kwa hiyo ajenge barabara juu ya jengo la TANESCO na mengineyo ambayo yapo kwenye maeneo la barabara?
 
Huyu jamaa ana wazimu sio kidogo, hao wazembe wa serikali waliopitisha ujenzi wa hilo jengo wako wapi? Wamechukuliwa hatua gani?

Au kwakuwa hayo majengo yamejengwa na kodi ya mwananchi basi inakuwa ni rahisi kuyavunja? Akavunje nyumba zake huko chato na dar..hili swala ni zito sana,badala ya serikali kufikiria maendeleo ya kujenga flyover eti wao wanafikiria kuvunja! Nasema siku atakapoamua kuvunja lile jengo kwa huo wazifa wake wa muda,atakuja kujutia maisha yake yote..I mean it.

we mwehu, jengo liko ktk hifadhi ya barabara hata kama lingekuwa limejengwa kwa dhahabu lingevunjwa tuu..pelekeni pumba zenu huko..mmekalia kusuuportiana hjinga..
 
Hifadhi ya Barabara ni kwa sababu ya public services and utilities ikiwema; umeme, maji, simu, internet, mobile toilets, e.t.c. Jengo la TANESCO ni public services kwa maana kwamba wameamua badala ya kuweka nguzo za umeme waweke sehemu ya ofisi yao ili kurahisisha public service, sasa mzee Pombe atuambia anataka kuondoa public service and utilities ili public ipate wapi huduma?
pumba nyingine hii, jengo litavunjwa tuu hata iwe vp, mmekalia kulalama oooh foleni, leo mnaambiwa tuvunje majengo yalojengwa hifadhini ili tutanue barabara ili foleni isiwepo mmeanza kelele tena,..ivi watz mkoje?? kwahiyo issue ya barabara saivi imekuwa ja magufuli na nyie mmehamia kwenye jengo..akili zenu kama za konokono..ukimguisa kichwa ndo anakiingiza ndani otherwise he's blind..nchi hii haiendelei kwa ajili ya vichwa pumba kama nyinyi..
 
unajua watanzania wengine akili zao ni za ajabu sana. sheria imewekwa lazima ifuatwe. Kama jengo limejengwa sehemu kinyume na sheria, lazima libomolewe. Mnajadili nini? huo ndo utawala wa sheria hakuna kupindisha...
 
Sijaluelewa mkuu, unajaribu kusema kwamba nikitumia pesa nyingi sana kuvunja sheria inabidi sheria itupwe ili mimi nisiwe nimepata hasara kwa kuvunja kwangu sheria?

hahahahahahahahahaha
 
Bosi wake anataka flyovers sasa ijengwe wapi bila kubomoa hiyo TANESCO na idara ya maji upande wa pili? Jengo hili lilijengwa enzi za Tume ya Jiji wakati building permits ziliposimamishwa...kiwanja chenyewe ni unsurveyed
 
Back
Top Bottom