Waziri Jaffo: Zaidi ya watu milioni 11 wameshajiandikisha lengo ni watu milioni 26 hivyo zoezi linaenda vizuri sana

Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema zaidi ya wananchi milioni 11 wameshajiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Lengo ni kuandikisha wapiga kura milioni 26.9 hivyo zoezi linakwenda vizuri.

Jaffo amesema zoezi lililega lega kidogo kwa sababu ya mvua za vuli zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ndio maana ameongeza muda wa siku tatu ili kutoa fursa kwa wale waliokwama waweze kujiandikisha.

Chanzo: ITV habari!
Lijafo liongo sana jamani.
 
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema zaidi ya wananchi milioni 11 wameshajiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Lengo ni kuandikisha wapiga kura milioni 26.9 hivyo zoezi linakwenda vizuri.

Jaffo amesema zoezi lililega lega kidogo kwa sababu ya mvua za vuli zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ndio maana ameongeza muda wa siku tatu ili kutoa fursa kwa wale waliokwama waweze kujiandikisha.

Chanzo: ITV habari!
Porojo tu hákuna takwimu zinazotumwa saa 3;usk
 
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema zaidi ya wananchi milioni 11 wameshajiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Lengo ni kuandikisha wapiga kura milioni 26.9 hivyo zoezi linakwenda vizuri.

Jaffo amesema zoezi lililega lega kidogo kwa sababu ya mvua za vuli zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ndio maana ameongeza muda wa siku tatu ili kutoa fursa kwa wale waliokwama waweze kujiandikisha.

Chanzo: ITV habari!
Hapa ndipo utagundua jinsi ambavyo serikali ya ccm inafanya mambo kisanii, huyu kijana anasema walitaraji kuandika watu milion 26 na sasa wamepata watu milion 11 na kwamba zoezi linaenda vizuri, kama linaenda vizuri wameongeza siku za nini ?
 
!
!
Sasa Wameongeza Siku Za Nini Kama Zoezi Limeenda Vizuri?

Hawa wanasiasa ni wapuuzi sana ndo wanaotuharibia nchi…!
Anachoongea Jafo ni propaganda na mkakati wa kuja kuchakachua matokeo!
Haiwezekani watu milioni 26.9 waandikishwe kwa siku 7! Kama kwa siku 7 wameweza kuandikisha watu milioni 11 utawezaje kuandikisha watu milioni 15.9 ndani ya siku 3 walizo ongeza? It's absolutely impossible!!!
 
Umeambiwa mvua zinanyesha uwe unaelewa bwashee!
..hahahaaa kwaiyo watawagawia miamvuli majumbani au watazuia mvua kwa mda wa siku 3? Tukichagua mnasema tunachagua hovyo hovyo amleti huduma... Sasa tumeamua mchague wenyewe mlete maendeoeo nchi iwe Kama ulaya kwa maendeleo kutoka chama chenu
 
Hili zoezi naona kama vile watu wanalazimishwa kujiandikisha.
Kwa kuwa kujiandikisha ni hiali ya mtu kuamua mwenyewe,napendekeza yafutayo:-
1.Uchaguzi wa serikali za mitaa ufanyike mwakani sambamba na uchaguzi mkuu kwa kutumia takwimu/majina yanayoandikishwa sasa.
2.Kama uchaguzi utafanyika sasa huduma za kiofisi katika serikali za mitaa baada ya uchaguzi zitolewe kwa wale waliojiandikisha kupiga kura.
3.Zoezi la kuandikisha daftari la wakaazi katika mitaa na vitongoji lifanyike haraka kabla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa/Mkuu.
4.Kama itashindikana kabisa serikali za mitaa zifutwe na badala yake mabalozi wa nyumba 20/50 wachaguliwe na wananchi wa maeneo yao.
5.Na ili kuondoa siasa katika majukumu ya kiutendaji ya serikali za mitaa,ofisi za kata zichukue wajibu huo kwa kuunda chombo maalumu kitakachoshirikiana na mabalozi,vyombo vya Dora na wakurugenzi wa halmashauri kusolve changamoto zitakazijitokeza.
Sio lazima kufuata yaliyojuu hapo,cha msingi ni kuendelea kusisitiza wananchi kujiandikisha,na si busara kutokujiandikisha alafu baadae tunakuja kujifanya eti au kulalamika viongozi waliochaguliwa hawafai.
 
Iko hivi yaani,katika hao watu 11m waliojiandikisha,watakaoenda kupiga kura ni watu 1m,kura zitakazoharibika ni laki tano,kura watakazopigiwa ccm ni hamsini elfu,kura laki nne na nusu watapata wapinzani,halafu utasikia ccm imeshinda kwa kishindo 😂😂😂😂😂😂
Nalog off
 
unaweza kudanganya uwezavyo lakini kuna Sikh ya kupiga kura due vituo vitupu havina wapiga kura inakiwaje?
uongo gani mpya utakuja nao?
 
Back
Top Bottom