Ama kweli siasa ni mchezo mchafu. Eti Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba ameanza kumfanyia rafu mbaya za kisiasa kaka yake wa tumbo moja, Injinia Adriani Tizeba ili asishinde uchaguzi mdogo wa Udiwani kata ya Lugata Kome Jimbo la Buchosa wilaya ya Sengerema mkoa wa Mwanza.
Waziri Tizeba ambaye kwa muda mrefu wameingia bifu LA KUFA MTU na kaka yake aliyemsomesha, Injinia Adriani, anadaiwa kumrubuni mama yao mzazi kumpakazia Adriani eti alimbaka!. Wakati mama huyo akibwabwaja maneno yake hayo machafu na ya ovyo yasiyo na ukweli ndani wake, ambayo yanayodaiwa kupandikizwa na huyo Waziri, mpaka leo hii hakuna kesi yoyote ya kubakwa mama huyo. Na wananchi wote wa kata ya Lugata, wakiwemo wafuasi wa CCM na vyama vingine wameapa kumpigia kura zote za ndiyo Adiriani Tizeba anayegombea udiwani kata hiyo kupitia CHADEMA, maana mdogo wake amempakazia mambo ya KISHENZI yasiyo na ukweli hata chembe!.
Waziri Tizeba ambaye kwa muda mrefu wameingia bifu LA KUFA MTU na kaka yake aliyemsomesha, Injinia Adriani, anadaiwa kumrubuni mama yao mzazi kumpakazia Adriani eti alimbaka!. Wakati mama huyo akibwabwaja maneno yake hayo machafu na ya ovyo yasiyo na ukweli ndani wake, ambayo yanayodaiwa kupandikizwa na huyo Waziri, mpaka leo hii hakuna kesi yoyote ya kubakwa mama huyo. Na wananchi wote wa kata ya Lugata, wakiwemo wafuasi wa CCM na vyama vingine wameapa kumpigia kura zote za ndiyo Adiriani Tizeba anayegombea udiwani kata hiyo kupitia CHADEMA, maana mdogo wake amempakazia mambo ya KISHENZI yasiyo na ukweli hata chembe!.