Wiki chache baada ya Zitto Kabwe(mb)kudai serikali ya JK imefirisika,Naibu Waziri wa mambo ya ndani Khamis Kagasheki amesema serikali ililazimika kukomba mafungu ya fedha katika halmashauri za wilaya,jiji na manispaa ili kudunduliza na kupata fedha za kuwalipa makandarasi wa barabara nchini waliokuwa wamegoma wakishinikiza kulipwa.
Alikuwa akichangia katika kikao cha bodi ya barabara cha mkoa wa Kagera jana.Waziri wa fedha Mustapha Mkulo alikanusha vikali kauli ya Zitto.
Alikuwa akichangia katika kikao cha bodi ya barabara cha mkoa wa Kagera jana.Waziri wa fedha Mustapha Mkulo alikanusha vikali kauli ya Zitto.