GHASIA ASILETE GHASIA HAPA, kama nikusimamia sheria mbona anakuwa selective, kwani sheria ya rushwa haipo, sheria ya kulipabeli za maji haipo au hazijui. mavazi ya heshima ni yapi? mfano yeye kuficha uso kwenye hijabu ajui kwa wengine anakuwa tayari amekiuka maadili, maana yeye kama ofisa wa umma (yaani watu wote) kule tu kuwa amevaa mavazi ambayo moja kwa moja yanatambulisha dini yake anakuwa ameisha onyesha alama kwamba anaweza asiwatendee watu wengine haki (anakuwa hayuko neutral). anataka nguo isiyovuka magoti hiyo si ni min-hijabu.
mimi namuomba ashughulikie maadili ya rushwa,uzembe, uchelewaji, lugha chafu nk aachane na mavazi.
mimi namuomba ashughulikie maadili ya rushwa,uzembe, uchelewaji, lugha chafu nk aachane na mavazi.