Waziri Angela Kairuki: Uhakiki wa vyeti haujafanywa kwa Viongozi walio katika nafasi za kisiasa!

Wakati mwingine gubu halifai kwa mtoto wa kiume,umekazania bashite bashite hata kama raisi atambakisha yy ndie anaejua huyo unaedai bashite umuimu wake ktk taifa,hebu punguzeni roho mbaya jamani mmepiga mikelele lakini raisi hawajali na mm nimeoenda msimamo wake.haiwezekani prezdar mumpangie cha kufanya.kuna kiongozi wa chama kikubwa hapa nchini na ni mbunge kapata O na bado aka tumia cheti cha gestura kuajiliwa pale BOT je ke kesho hakija kuwa raisi au kuteuliwa kuwa katibu ktk wizala fulani je mtamsakama kama huyo mnamwita bashite,kama kweli mnadhamila ya dhati kukomesha haya mambo kwa nn msianze na hao akina frimon gestura kabra hawajafika mbali,acheni roho mbaya nyie.mbona hamkemei ukabira uliopo ktj vyama vingine hila la bashite kubwa sana kwenu?
kwasababu CCM ni chama tawala CDM ingekuwa chama tawala tungedeal na mbowe perpendicularly
 
Waziri kairuki amesema, Zoezi hili halikuhusisha Viongozi wa Kisiasa wakiwemo Mawaziri, Wabunge, Wakuu wa Mikoa/Wilaya na Madiwani. Kwa mujibu wa sheria na kanuni za nchi, wote tunafahumu uteuzi na uchaguzi kwenye nafasi zao unafanyika kwa misingi ya wahusika kujua kusoma na kuandika, Ibara 67 (1) ya Katiba ya JMT.


My take: Kosa la kughushi cheti ni kosa la jinai,jinai hii haipaswi kuwatenga wanasiasa na watu wa kawaida!.

Hapa chini nmeweka hiyo Ibara ya Katiba aliyoisoma.
View attachment 502164

NB:Nadhani sasa ule utata wa wakuu wa mikoa na wilaya umeisha,hawa ni wanasiasa kwa mujibu wa Waziri!



Wakuu... Hii riport haina kosa lolote lile na pia imetuelimisha sana kwa upande wa ajira za kuteuliwa kwamba hazihitaji vyeti bali kusoma na kuandika.

Kuhusu lile swala jingine bado liko pale pale na halihusiani na hii riport what so ever... Sasa ukija kwenye waliofoji au kutumia vya wenzao watachukuliwa hatua gani, hapo sasa ndo mamlaka husika ifanye kazi yake...!!!!
 
Baada ya matamshi ya waziri Angela Kairuki kuhusu wanasiasa,wakuu wa mikoa,n.k kutakiwa kuwa na sifa za kujua kusoma na kuandika tu kama shariti la wao kuwa watumishi wa serikali,natarajia kusikia kauli ya waziri kivuli wa utumishi wa umma juu ya kauli hii ya waziri Angela Kairuki.

Mbali na waziri kivuli wa utumishi, natarajia pia kusikia kauli /maoni ya waziri kivuli wa sheria, mh.Tundu Lissu juu ya kauli hiyo ya waziri.

Naamini mh.Tundu Lissu atakuja na ufafanuzi au uchambuzi wa kutosha juu ya kauli hii.
Suala la vyeti feki limeishia hapa mkuu .
 
Kuna wakati waweza fikiria unaota kwa mambo yanayoendelea nchini kwetu kumbe kiuhalisia upo macho
 
Hiyo kauli ya tundu lissu itasasidia Nini mfano??Serikali ilisha kwambia kuwa RC ,DC , WABUNGE ,NI VYEO VYA KIASIASA HAVINA QUALIFICATION ASA HUYO TUNDU LISSU ATAFANYA NINI ,KIFUPI MMEPIGWA GORI LINGINE LA KISINGINO.....
La mkono kabsa mkuu
 
MAGUFULI KWA HILI LA KUBAGUA WATU UMEFELIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII NA HAKUNA ATAKAYEONDOKA MPAKA TUONE WOTE WAMECHUKULIWA HATUA BILA HIVYO HATUTAONDOKA NG'OOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Kuna wanasiasa ambao kabla ya nafasi zao za kisiasa waliwahi kuwa waajiliwa kabla na hasa serikalini. Walilipwa kwa pesa zetu kama mshahala na stahiki mbalimbali. Leo hii wanaepushwa na uhakiki kisa tu wako kwenye nafasi za uteuzi ilihali ikijulikana kabisa kuwa nafasi wanazo zihudumu si za kudumu maisha yao yote!!!?
Kesho hawako kwenye nafasi hizo na wanarejea kwenye kazi hizi za awali. Wengine ni madaktari,bado umhimu wa kuwahakiki haupo kisa tu ni wanasiasa na nafasi za uteuzi!!!?
Basi sawa me nimekuelewa mheshimiwa!
 
wrote waliofoji vyeti rais amewasamehe japo kisheria walitakiwa wapelekwe mahakaman vivyo hivyo hata makonda kasamehewa.
 
wrote waliofoji vyeti rais amewasamehe japo kisheria walitakiwa wapelekwe mahakaman vivyo hivyo hata makonda kasamehewa.
 
means kwamba tuachage kujihuliza ile mikataba mibovu inayosainiwaga yenye kuhumiza wananchi...kwa muda mrefu ambayo inanufaisha mtu mmoja 1.... nadhani sasa jibu limepatikana...
tuendelee na kawaida...
 
sisi wanasiasa tunazidi kuwakimbiza wasomi tu .mwanangu akijua kusoma na kuandika tu namtafutia Jimbo haraka Sana.
 
Wai hili linchi la ajabu sana. Kama mkuu wa mkoa ni cheo cha kisiasa basi asisimamie maendeleo ambayo kwa wakati mwingine yanafanywa na watu wenye elimu zao. Hao ni kutuambia mtu wa darasa la saba amsimamie Engineer wa mkoa sababu tu anajua kusoma. Natamani hata kutukana.[/QUOTE
Brilliant observation ! Viwango vya kuwa mwanasiasa vimeteremshwa na kuwa "barely minimum" na viwango vya wasomi vimepandishwa "To the maximum". Hii concept Vladmir Ilyich Lenin aliikataa kabisa kabisa. Scenario ya kwamba inakubalika semi -illiterate awe kiongozi na pengine aongoze professionals simply because ni mwanasiasa.......? Nafikiri tukae tena tulitafakari hili kwa maslahi mapana ya nchi.!
 
Punguzen povu,,waache wafanye kazi yao maana yule kule marekan ameshanyang'anywa watoto na mahakama ,,,so kaishiwa mchangien,,maana akitua bongo tu kazi anayo...
 
Mara nyingi kumuombea mabaya mtu aliye kweye haki, maombi hayo huishia kuwa ni laana ya muombaji na laana hiyo hudhaifisha nafsi hiyo.
Huyo anayeombewa Mabaya huedelea kustawi kimaisha, kwa sababu matendo ayafanyayo yanampendeza M/Mungu na si Mwanadamu aliyejaa chuki na husda.
 
Back
Top Bottom