msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
wana jf kuna waziri wa sekta flan na ameoa ila anansumbua ananihonga hadi gari hii inanifanya hadi nitake hama nchi
ushauri plzzzzzz
regards tracy wa njiro
maswali:
1.umeleta hapa ili tujue unatongozwa?
2.je mbona ulivyotongozwa na muuza mkaa haukuleta hapa jamvini?
3.au umeishaliwa na umebumbulukiwa na sasa unatafuta njia ya kujitetea?
4.au unatajitambulisha kuwa unapenda kutongozwa?
5.kwanza we jinsia gani,maana siku hizi hata watu wa kameruni nao wanarukaruka tu mitaani utadhani bisi kikaangoni?
acha ulimbukeni we endelea kugawa