josam
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 2,241
- 1,031
Nao hawajitambui, ni kupiga makofi tu..... wastaafu wengi Dare salama, na baadhi yao wamezeekea hapa hapa na hawana vyanzo vya mapato, wakisikia mwaliko kutoka ikulu basi masikio huwasimama, wengi tunaishi nao na tunaona maisha yao kitaani! wamebakia kuwa makada na wana vikundi vya chama,
Sijui SERIKALI YA UKAWA itakuj nampngo kma huu na kama wataikia vile vile mwaliko wa awamu ya tano chini ya UKAWA?!?
Sijui SERIKALI YA UKAWA itakuj nampngo kma huu na kama wataikia vile vile mwaliko wa awamu ya tano chini ya UKAWA?!?