Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,278
- 4,273
Majibu ya sensa yamevuja uko "Katika kila vijana kumi, kuna vijana kumi wanateseka na mapenzi".
Umeshawahi mfata msichana mkiwa sekondari akakujibu shombo kinoma, halafu baada ya miaka kama 9 kupita anakuja kujitongozesha mwenyewe?
Ka-madam kadogo kadogo kazuri kanawachapa chapa viboko siku ya siku huyu hapa unae guest?
Kuna mkaka alikuwa anakupita kama kisiki hivi yaani anakuona wa hovyo katoto unanuka mkojo, hujui kufua chupi hata kukuambia mambo hakuna, ila baada ya miaka 8 kupita anakusumbua kinoma uko inbox?
Pale darasa la nne kamasi tu puani alafu kuna kamkaka ka darasa la saba kabishoo kinomaaa, unakawaza mwenyewe ila unashindwa hata kumsalimia unaona kabisa siambulii kitu ila ikapita miaka 7 anaanza kukufukizia?
Ushawahi kuambiwa na msichana "Mimi sio hadhi yako" lakini ikapita miaka kadhaaa ukamlaza kwenye kale kagodoro kako ghetto?
Siyo zile za wiki mbili au mwezi za wasichana kukuzungusha zungusha ile unamfukuzia, HAPANA. Naongelea ile umetolewa nje kwasababu yeyote ile, mfano kakuona mtoto au siyo hadhi yake lakini ikapita miaka kadhaaa na wewe ukasahau kabisa hiyo scenario baadae unamwona mtoto huyu hapa anajileta!
SCENARIO NO 1.
Miaka hiyo chuo mwaka wa kwanza kuna msichana mwaka wa kwanza mwenzangu nimemtokea ananijibu "Kwa unavyoniona hivi me ni wa kutoka na mwaka wa kwanza?"
Mwana kujitetea tetea pale na tumistari twa uwongo uwongo na vizawadi zawadi wapi niliambulia hiyo kauli nikasema freshi haina noma maisha yakasonga. Tukawa tukikutana hi nini mambo poa fuleshi, mwaka wa tatu nimebaki tu na kumbukumbu kama nshawahi kumtongoza nikapata tabu sana.
Mara ghafla akawa anapenda sana kunichatisha, mara nije ghetto kwako, wikiendi tuingie wapi, una mtu wewe? Nikaona hamna kazi hapa na mimi nikam-friend zone.
SCENARIO NO 2.
Huyu hapa nakumbuka alinichapa tukio nipo kidato cha tano na alinijibu kistaarabu tu japo iliniuma sana, alinambia "Nina mtu wangu nampenda na hata nikiamua kumuacha siwezi kufanya hivyo kwa ajili ya mtu kama wewe", mwamba nikasema uhakika.
Miaka kama kawaida ikaenda, nipo zangu mwaka wa pili hiyo siku naingia stationary moja yeye akawa anatoka (kumbe alikuwa chuo cha karibu anasoma), alivoniona nikaskia "Waaoh" story zikawa nyingi kidogo nikaomba namba yake freshi.
Nimekaa siku ngapi nakamtafuta, halafu nikamtongoza nione kitatokea nini, akakubali mapema tu.
SCENARIO NO 3.
Haka kadogo miaka hiyo kalikuwa kadogo kadogo halafu kachafu kachafu sana, shepu haileweki yaani kapo kapo tu. Sasa nyumbani sijatimba muda kidogo umepita, juzi naenda nakakuta daaah katoto shepu, katoto tako, katoto kasafi. Nikasema mbona hili "Comeback" la hatari sana, sema kuna mwana nimekuwa naye wa pale kitaa ndiyo anabeba ikabidi tu niwe mpole.
Ebu mtupe "Comeback" mlizopiga au kupigwa wadau.
#OneDayYouWillBeGone
Dr criminal.
Umeshawahi mfata msichana mkiwa sekondari akakujibu shombo kinoma, halafu baada ya miaka kama 9 kupita anakuja kujitongozesha mwenyewe?
Ka-madam kadogo kadogo kazuri kanawachapa chapa viboko siku ya siku huyu hapa unae guest?
Kuna mkaka alikuwa anakupita kama kisiki hivi yaani anakuona wa hovyo katoto unanuka mkojo, hujui kufua chupi hata kukuambia mambo hakuna, ila baada ya miaka 8 kupita anakusumbua kinoma uko inbox?
Pale darasa la nne kamasi tu puani alafu kuna kamkaka ka darasa la saba kabishoo kinomaaa, unakawaza mwenyewe ila unashindwa hata kumsalimia unaona kabisa siambulii kitu ila ikapita miaka 7 anaanza kukufukizia?
Ushawahi kuambiwa na msichana "Mimi sio hadhi yako" lakini ikapita miaka kadhaaa ukamlaza kwenye kale kagodoro kako ghetto?
Siyo zile za wiki mbili au mwezi za wasichana kukuzungusha zungusha ile unamfukuzia, HAPANA. Naongelea ile umetolewa nje kwasababu yeyote ile, mfano kakuona mtoto au siyo hadhi yake lakini ikapita miaka kadhaaa na wewe ukasahau kabisa hiyo scenario baadae unamwona mtoto huyu hapa anajileta!
SCENARIO NO 1.
Miaka hiyo chuo mwaka wa kwanza kuna msichana mwaka wa kwanza mwenzangu nimemtokea ananijibu "Kwa unavyoniona hivi me ni wa kutoka na mwaka wa kwanza?"
Mwana kujitetea tetea pale na tumistari twa uwongo uwongo na vizawadi zawadi wapi niliambulia hiyo kauli nikasema freshi haina noma maisha yakasonga. Tukawa tukikutana hi nini mambo poa fuleshi, mwaka wa tatu nimebaki tu na kumbukumbu kama nshawahi kumtongoza nikapata tabu sana.
Mara ghafla akawa anapenda sana kunichatisha, mara nije ghetto kwako, wikiendi tuingie wapi, una mtu wewe? Nikaona hamna kazi hapa na mimi nikam-friend zone.
SCENARIO NO 2.
Huyu hapa nakumbuka alinichapa tukio nipo kidato cha tano na alinijibu kistaarabu tu japo iliniuma sana, alinambia "Nina mtu wangu nampenda na hata nikiamua kumuacha siwezi kufanya hivyo kwa ajili ya mtu kama wewe", mwamba nikasema uhakika.
Miaka kama kawaida ikaenda, nipo zangu mwaka wa pili hiyo siku naingia stationary moja yeye akawa anatoka (kumbe alikuwa chuo cha karibu anasoma), alivoniona nikaskia "Waaoh" story zikawa nyingi kidogo nikaomba namba yake freshi.
Nimekaa siku ngapi nakamtafuta, halafu nikamtongoza nione kitatokea nini, akakubali mapema tu.
SCENARIO NO 3.
Haka kadogo miaka hiyo kalikuwa kadogo kadogo halafu kachafu kachafu sana, shepu haileweki yaani kapo kapo tu. Sasa nyumbani sijatimba muda kidogo umepita, juzi naenda nakakuta daaah katoto shepu, katoto tako, katoto kasafi. Nikasema mbona hili "Comeback" la hatari sana, sema kuna mwana nimekuwa naye wa pale kitaa ndiyo anabeba ikabidi tu niwe mpole.
Ebu mtupe "Comeback" mlizopiga au kupigwa wadau.
#OneDayYouWillBeGone
Dr criminal.