Wazazi wananitaka nirudi nyumbani kwakuwa ninapofanya kazi kuna changamoto ya mshahara

Mimi ni ke, nina umri wa miaka 26. Lengo la kuja hapa ni kuomba ushauri wenu, nipo nafanya kazi kwenye taasisi moja inayojishughulisha na afya pamoja na elimu, kumekuwa na changamoto ya kutolipwa mishahara kwa muda wa miezi mitano.

Kutokana na hii changamoto imenifanya niwe ombaomba kwa wazazi ili niweze kujikimu mahitaji ya msingi kama chakula na kodi. Wazazi wangu wamechoshwa na mimi kuomba omba hela, mnishauri nirudi nyumbani kula ugali wa baba na mama au niendelee kupambana?
Huo ni uonevu,unyanyasaji na ukatili mkubwa,washitaki hao watu.
 
dada, anzisha uzi mwingne sasahvi uulize ni namna gani ufanye ili ulipwe mshahara wako wa miezi 5!
 
Mimi ni ke, nina umri wa miaka 26. Lengo la kuja hapa ni kuomba ushauri wenu, nipo nafanya kazi kwenye taasisi moja inayojishughulisha na afya pamoja na elimu, kumekuwa na changamoto ya kutolipwa mishahara kwa muda wa miezi mitano.

Kutokana na hii changamoto imenifanya niwe ombaomba kwa wazazi ili niweze kujikimu mahitaji ya msingi kama chakula na kodi. Wazazi wangu wamechoshwa na mimi kuomba omba hela, mnishauri nirudi nyumbani kula ugali wa baba na mama au niendelee kupambana?
Rudi nyumbani upesi sana kama hupendi kuliwa kimasihara kisa umekosa 500 ya chai, wazazi wako wanakupenda sana hongera binti.
 
Ushauri wangu kwako ni huu,ukirudi nyumbani utawapa wazazi amani huko ulipo,huna mshahara,mtoto wa kike unawapa mateso makali sana.SO GO HOME and if ALL is WELL GET another JOB somewhere else.KUFANYA kAZI mahali kwa miezi mitano bila mshahara na kuona ni kawaida ni dalili ya ugonjwa wa akili na ukichaa.
 
dada, anzisha uzi mwingne sasahvi uulize ni namna gani ufanye ili ulipwe mshahara wako wa miezi 5!

Je Kama alikuwa anajitolea tuu😂😂
Kama anamkataba itakuwa rahisi zaidi kusaidika.
Lakini kama aliomba kazi kama Volunteer hapo kazi anayo.

Muhimu arudi nyumbani, kama nyumbani anaona jau basi aangalie maisha yake Kwa kuenda kuishi na mchumba wake huku akitafuta nafasi ya kazi au kujiajiri.

Mambo yamebadilika Sana.
 
Mimi ni ke, nina umri wa miaka 26. Lengo la kuja hapa ni kuomba ushauri wenu, nipo nafanya kazi kwenye taasisi moja inayojishughulisha na afya pamoja na elimu, kumekuwa na changamoto ya kutolipwa mishahara kwa muda wa miezi mitano.

Kutokana na hii changamoto imenifanya niwe ombaomba kwa wazazi ili niweze kujikimu mahitaji ya msingi kama chakula na kodi. Wazazi wangu wamechoshwa na mimi kuomba omba hela, mnishauri nirudi nyumbani kula ugali wa baba na mama au niendelee kupambana?
Nitumie CV yako pm
 
Mimi ni ke, nina umri wa miaka 26. Lengo la kuja hapa ni kuomba ushauri wenu, nipo nafanya kazi kwenye taasisi moja inayojishughulisha na afya pamoja na elimu, kumekuwa na changamoto ya kutolipwa mishahara kwa muda wa miezi mitano.

Kutokana na hii changamoto imenifanya niwe ombaomba kwa wazazi ili niweze kujikimu mahitaji ya msingi kama chakula na kodi. Wazazi wangu wamechoshwa na mimi kuomba omba hela, mnishauri nirudi nyumbani kula ugali wa baba na mama au niendelee kupambana?
Pole sana, changamoto ni nyingi sababu ya kuchelewa kulipa mishahara ni nini, hatua gani zinachukuliwa kutatua changamoto, mnapofanya kazi Kuna kitu mnazalisha??
 
Mimi ni ke, nina umri wa miaka 26. Lengo la kuja hapa ni kuomba ushauri wenu, nipo nafanya kazi kwenye taasisi moja inayojishughulisha na afya pamoja na elimu, kumekuwa na changamoto ya kutolipwa mishahara kwa muda wa miezi mitano.

Kutokana na hii changamoto imenifanya niwe ombaomba kwa wazazi ili niweze kujikimu mahitaji ya msingi kama chakula na kodi. Wazazi wangu wamechoshwa na mimi kuomba omba hela, mnishauri nirudi nyumbani kula ugali wa baba na mama au niendelee kupambana?
Samahani,hivi huwa mnawezaje kuishi na kufanya kazi bila ya kulipwa mshahara kwa miezi hiyo yote mitano!!?
Mimi naona Hilo jambo ni gumu Sana.
 
Screenshot_20221013_155703_com.whatsapp_edit_122418765701111.jpg
 
resign, kisha nenda cma fungua kesi ya kuachishwa kazi. kitendo cha kutokulipwq mshahara miez 5 ,kinapelekea kitu inaitwa constructive termination, ambapo hata kama ni wewe umeamua kuacha kazi basi itachukuliwa mwajri ndio amesababisha wewe kuacha kazi( but you have to prove beyond reasonable doubt)
 
Ok, ni vizuri kutafakari kwanini hawalipi miezo yote hiyo? Na je wataanza kulipa lini?

1. Unaweza kurud nyumbani kujipanga upya...hapa utakuwa umerudi nyuma haswa lakini mara nyingine sio mbaya kujipanga upya.

2. Au uangalie namna nyingine aidha kuanzisha biashara ndogo (kama una mtaji na unakitu uanpenda kufanya) au kutafuta ajira sehemu nyingine japo kupata ni changamoto.
 
Mimi ni ke, nina umri wa miaka 26. Lengo la kuja hapa ni kuomba ushauri wenu, nipo nafanya kazi kwenye taasisi moja inayojishughulisha na afya pamoja na elimu, kumekuwa na changamoto ya kutolipwa mishahara kwa muda wa miezi mitano.

Kutokana na hii changamoto imenifanya niwe ombaomba kwa wazazi ili niweze kujikimu mahitaji ya msingi kama chakula na kodi. Wazazi wangu wamechoshwa na mimi kuomba omba hela, mnishauri nirudi nyumbani kula ugali wa baba na mama au niendelee kupambana?

Kwanza ungetuambia kwa nini ulipwi mshahala inawezekana boss wako kayumba kiuchumi

Kma mwanzon alikiwa anakulipa bila shida halafu ghafra akulipi na bila sababu bac rudi home kale bure

Lkin kma boss wako nae yuko na changamoto za kipato na bado anakuhitaji kaanae chini mjue nini mfanye
 
Mimi ni ke, nina umri wa miaka 26. Lengo la kuja hapa ni kuomba ushauri wenu, nipo nafanya kazi kwenye taasisi moja inayojishughulisha na afya pamoja na elimu, kumekuwa na changamoto ya kutolipwa mishahara kwa muda wa miezi mitano.

Kutokana na hii changamoto imenifanya niwe ombaomba kwa wazazi ili niweze kujikimu mahitaji ya msingi kama chakula na kodi. Wazazi wangu wamechoshwa na mimi kuomba omba hela, mnishauri nirudi nyumbani kula ugali wa baba na mama au niendelee kupambana?
pole sana
 
Back
Top Bottom