Warren T
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 664
- 409
Na alietoa mahari huwa anapenda kumiliki binti kama chombo kwani amelipia, kitu ambacho humfanya binti anyanyasike na kudhalilishwa!Mahari ni lazima si jambo la hiari mana binti yako si sawa na mfugo unamtoa tu..lazima uthamani uwepo