katika safu yako mbona Hamna Mnyarwanda? au umeshindwa Ku wa differentiate OK... they share the same ethnic. Watutsi of which are found in both countries Burundi and Rwanda formerly Rwanda Udundi wanazaa Mara mbili kwa mwaka mshikaji kama mbuzi! mimba ya mtutsi ni 6 months not 9 as usual.record that DAT am in Rwanda
duh Pole sana,Chukua Familia nzima kwenda kijijini likizo ya mwezi mziiima,kaa nao,siku ya kuondoka Waache hapo kwao ,wewe beba watoto tu,Wife mwambie abaki nao kidogo,akikupigia simu mwambia aje peke yake kama bado anaitaka ndoa.kama haitaki abaki huko huko na wazazi wake.
Vinginevyo watafutie ajira wazazi hapa mjini,kaa vipi wape machine ya bisi wakuzalishie pesa
Pole sana, naona hapo kwako unawapa raha sana, embu fanya kamchezo, act kama umefulia na isiwe chini ya ya miezi sita na kuendelea, jifanye uchumi umeyumba nyumbani kwako hadi mkeo ajue hivyo na kama ni hela ya ada ya watoto at the beginning jifanye umekopeshwa na friend wako then sometimes uwe unaomba na mkeo or ndugu zake wakusaidie some amount ili uendeshe maisha angalau, fanya maisha yako yameshuka, usichange mlo mara kwa mara, hakikisha ndani hamna hata punje ya mchele, blueband, maziwa sijui masoseji, pigisha dona harage, dona dagaa, na asubuhi uji wa dona , kama una wafanyakazi home waondoe kwa reason ya kuwa huwezi kuwalipa kwa muda huo cause huna hela wala huna uhakika lini utapata nafuu, yaani ikiwezekana hata omba dawasco wakukatie maj kwa muda, mkabebe ndoo za maji kwenye bomba ya mtu, mwingine, na hata sometimes kaa siku mbili bila umeme home, jifanye hujapata hela ya kununulia, yaani fanya maisha ni magumu haswa, kwa watoto unaweza kuwapeleka boarding kwa kujifanya kuna mtu kakusaidia watoto tu for that utakuja mlipa hela yake someday ukikaa poa, wewe ukitoka unaweza pata msosi mzuri nje ya home, isiwe kwa wanapokujua wambea, ili wewe na watoto msitaabike kihivyooo, na usimwambie mtu mbea ishu yako unayofanya/the game, yaani wataabisha vizuri hasa mkeo na wazazi wake, nakwambia watanyooka hata miezi mitatu wanaweza wakasepa, wakisepa mapema endelea kwa muda usije jifanya uko sawa wakarudi, na tengeneza mazingira wakae kijijini, washindwe kutoka huko baadae na cha muhimu hakikisha mkeo asiuze vitu vya ndani kipindi hicho cha kuact kupigika au vihamishie kwa mtu unayemwamini jifanye umeviweka bond upate hela ya kulipia madeni.
Unalialia mini, kwani wewe halo nyumbani kwako una mchango kiasi gani,huna kitu? "ndorobo wee,"Pole sana, naona hapo kwako unawapa raha sana, embu fanya kamchezo, act kama umefulia na isiwe chini ya ya miezi sita na kuendelea, jifanye uchumi umeyumba nyumbani kwako hadi mkeo ajue hivyo na kama ni hela ya ada ya watoto at the beginning jifanye umekopeshwa na friend wako then sometimes uwe unaomba na mkeo or ndugu zake wakusaidie some amount ili uendeshe maisha angalau, fanya maisha yako yameshuka, usichange mlo mara kwa mara, hakikisha ndani hamna hata punje ya mchele, blueband, maziwa sijui masoseji, pigisha dona harage, dona dagaa, na asubuhi uji wa dona , kama una wafanyakazi home waondoe kwa reason ya kuwa huwezi kuwalipa kwa muda huo cause huna hela wala huna uhakika lini utapata nafuu, yaani ikiwezekana hata omba dawasco wakukatie maj kwa muda, mkabebe ndoo za maji kwenye bomba ya mtu, mwingine, na hata sometimes kaa siku mbili bila umeme home, jifanye hujapata hela ya kununulia, yaani fanya maisha ni magumu haswa, kwa watoto unaweza kuwapeleka boarding kwa kujifanya kuna mtu kakusaidia watoto tu for that utakuja mlipa hela yake someday ukikaa poa, wewe ukitoka unaweza pata msosi mzuri nje ya home, isiwe kwa wanapokujua wambea, ili wewe na watoto msitaabike kihivyooo, na usimwambie mtu mbea ishu yako unayofanya/the game, yaani wataabisha vizuri hasa mkeo na wazazi wake, nakwambia watanyooka hata miezi mitatu wanaweza wakasepa, wakisepa mapema endelea kwa muda usije jifanya uko sawa wakarudi, na tengeneza mazingira wakae kijijini, washindwe kutoka huko baadae na cha muhimu hakikisha mkeo asiuze vitu vya ndani kipindi hicho cha kuact kupigika au vihamishie kwa mtu unayemwamini jifanye umeviweka bond upate hela ya kulipia madeni.
Wadau nawasalim wote,
Baba na mama wa mke wangu walikuja mwaka 2011 kututembelea hapa Dar, ilikua wakae mwezi mmoja then warudi kijijini.
Lakini cha kushangaza hivi ninavyozungumza nanyi tarehe 30-06-2015 Jumanne, hawajaondoka kurudi kijijini kwao hadi Leo miaka takribani minne tangu 2011 January.
Kijijini kwao si kubaya kihivyo, kuna nyumba ya bati, kulikuwa na mifugo na mashamba lakini vyote hivyo vilikufa kutokana na kutelekezwa na mwenyewe ambao wamekimbilia kwetu Dar. Ni nyumba tu ndo ipo pale ila imekua pagala.Ndugu wengine wapo mjini ila mikoa tofauti.
Madhara yatokanayo na wakwe kukaa kwetu:-
(1) Kila tukigombana namke wangu au kutofautiana hata kwa jambo dogo sana, kesho yake atawaeleza wazazi wake, jioni yake wataniita kulizungumza, hadi nakereka, kila siku nawekwa chini hata kwa yale ambayo zamani tulimaliza chumbani
(2) Kwa muda waliokwisha kaa baba mkwe amefanya nyumba yangu kama kwake, anatoa amri kana kwamba yeye ndo mwenye mji, anawa amrisha familia yangu chakula cha kupika ambacho ni kinyume na nitakavyo mimi, na taratibu zingine za kikoloni.
(3) Kabla hawajaja 2011, tulikuwa na Chumba special cha wageni wetu maalumu self contained, ambacho sasa tumewapa wao hivyo wageni wetu tunawalaza kwa watoto, watoto tunawahamishia kwa house girl, kama wageni ni wengi house girl hulala sebuleni, jamba ambalo huwa linaniudhi sanasana.
(4) Gharama za maisha zimekuwa kubwa, kuishi kwao, afya zao, mahitaji yao ni juu yangu, ukijumlisha na familia yetu mzigo unakuwa mkubwa sana.
Wakuu, kwa hali hii nimeshindwa kuendelea hivi nahitaji way out, niliamua kukaa na wife tuweze kujadiliana kuhusu wazazi kurudi kijijini lakini kinyume na matarajio yangu uligeuka ugomvi mkubwa sana, akasema kama siwataki wazazi wake niseme wazi badala ya kujifanya namshauri.
Tangu siku hiyo ni visa tupu, kadai kwamba wazazi wake hawaendi kokote, kama nimemchoka anadai nimwambie aondoke yeye na wazazi wake, baada ya kuona diplomacy imeshindikana ikanibidi niwe mkali, ingawa sikufika hatua ya kumtamkia kwamba nawafukuza wazazi wake
Nimekua nikimuuliza "" hivi kule kijijini wazee wako walifanya kosa gani hadi kufikia hatua hawataki tena kurudi pamoja na misaada yote tuliokua tukiwatumia? Anakaa kimya
Mbona mimi wazazi wangu wapo kijijini wanaishi vizuri tu na wanayapenda maisha ya kule? Na tunawatumia misaada na wameridhika?
Ingawa sote mimi na wife tunafanya kazi ila kama mwanaume mimi ndo nabeba karibu robo tatu ya gharama za uendeshaji familia i .e ada za watoto na bill mbalimbali na kadhalika.
Juzi nimekutana na a primary school friend, tulipotezana miaka mingi sana, she was so bright in school, she is successful, anafanya kazi katika health sector, tulikutana katika function flani tukabadilishana business cards, tumetoka out kwa maongezi ya kawaida kama mara tano hivi, tumekumbushana vitu vingi sana vya enzi hizo, tuli enjoy sana kuongea pamoja.
Hivi karibuni alini invite kwa ajili ya lunch Jumamosi moja nyumba ni kwake, aliniuliza napenda nini nikamwambia Biriani,
So akaniambia niende kwake ameandaa Biriani.Tulikula pamoja, na tuka watch movie, although hakuna kibaya kilichotokea kati yetu ila nilimueleza matatizo yaliyopo Kwangu, akaniambia kama vipi tunaweza kuwa pamoja ila nichague sehemu moja yeye hawezi ku share.
Anyway, sijajua kwa nini hajaolewa hadi Leo ingawa yupo kwenye mid 30s. Ila aliniambia kwamba kwenye health sector shule inachukua Muda mrefu kumaliza kuliko sector zingine ukichukulia kwamba alifanya na masters pia. Waheshimiwa kwa kweli nilikua suffocated kwa Muda mrefu nyumbani kwangu walau sasa nimepumua kidogo.
Nalileta hili tatizo mikononi mwenu kwa ufumbuzi zaidi, mke wangu nampenda ila kwa sasa hatuelewani kabisa, chanzo ikiwa ni wazee wake ingawa na mengine mengi yameingia hapo hapo.
Nilimuomba rafiki yake kipenzi azungumze nae kiutu uzima amweleweshe kuhusu wazazi kutuachia nafasi ya kupumua lakini hivi navyozungumza nanyi urafiki ulikufa, aliambiwa anathubutu vipi kuingilia ndoa yetu! Ukawa ndio mwisho Wa urafiki wao, na hadi sasa naambiwa natembea nae wakati si kweli
Au nikubali pendekezo la moreen? Mengine yatajijua huko mbele?
Nawasalim wote
Mkuu simpo tafuta washikaji Wa mbali lkn sio mitaa yenu hapo wazuge n vibaka si umesema mmewapa chumba wazazi wawavamie usiku wawakate stiki za kutosha wazuge kuwaibia hata simu hivi kila baada ya miezi miwili uvamizi uwe unafanyika stiki za kutosha nakwambia utaombwa nauli kijijin fasta haiwezekan beki 3 kumbonji sebulen 3 years, tengeneza issue hii kwa siri kubwa na uangalifu mkuu.
Kungekuwa na uwezekano ungekodi hata wachawi kwa posho ndogo wazaz wajikute wamelazwa nje uchi hadi saa 4 asubuh nan asiyeogopa fedhea fasta kijijin umefika muda sasa uchawi kuwa ujasir amali
Halafu usikute huyu aliyeandika hapa Ni Kikwete raisi wa nchi au Pinda Waziri Mkuu wa nchi anashindwa kutatua tatizo!