M.E.M.A
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 1,373
- 472
Kwa nyakati tofauti pengine hata wewe mwana MMU umewahi kusikia juu ya jambo hili, au pengine limemtokea mmoja wa watu wako wa karibu.
Hili lina pande mbili
a) Ule wa hiari/makubaliano (voluntary). Japo injustifications zinaweza kuifanya aina hii kuchukua sura tofauti, mfano:
-hoja ya 'kurubuni'..japo haibadilishi ukweli kuwa ni kitu kilichofanyika kwa makubaliano.
-Ikiingia hoja ya umri hasa akiwa chini ya miaka 18 nayo pia inahafifisha swala la hiari au makubaliano.
b) Kubaka.
Hili wala halina maelezo mengi.
Baadhi ya mifano hai:
*Nimewahi kusoma shule moja na binti mmoja ambaye alikuwa anasimulia uhusiano wake wa kimapenzi na baba yake mzazi. Na akasema 'hakuna mwanaume yeyote anayeweza kunibabaisha'. Sikuweza kujua walianzaje maana kila ukimuuliza anakuuliza 'na wewe unataka nikupe'?
*Pia imekuwepo habari ya muda kidogo kuhusu mama aliyefunga ndoa na mwanae wa kumzaa huko Ruvuma.
*Kuna kipindi kimoja katika 'radio ya watu'..mama alikuwa anamshutumu baba anatembea na binti yao.
Swali:
Kwa nini mambo haya? Ina maana utu umeisha kiasi hiki? Ni tamaa za mabinti au wababa?
Hili lina pande mbili
a) Ule wa hiari/makubaliano (voluntary). Japo injustifications zinaweza kuifanya aina hii kuchukua sura tofauti, mfano:
-hoja ya 'kurubuni'..japo haibadilishi ukweli kuwa ni kitu kilichofanyika kwa makubaliano.
-Ikiingia hoja ya umri hasa akiwa chini ya miaka 18 nayo pia inahafifisha swala la hiari au makubaliano.
b) Kubaka.
Hili wala halina maelezo mengi.
Baadhi ya mifano hai:
*Nimewahi kusoma shule moja na binti mmoja ambaye alikuwa anasimulia uhusiano wake wa kimapenzi na baba yake mzazi. Na akasema 'hakuna mwanaume yeyote anayeweza kunibabaisha'. Sikuweza kujua walianzaje maana kila ukimuuliza anakuuliza 'na wewe unataka nikupe'?
*Pia imekuwepo habari ya muda kidogo kuhusu mama aliyefunga ndoa na mwanae wa kumzaa huko Ruvuma.
*Kuna kipindi kimoja katika 'radio ya watu'..mama alikuwa anamshutumu baba anatembea na binti yao.
Swali:
Kwa nini mambo haya? Ina maana utu umeisha kiasi hiki? Ni tamaa za mabinti au wababa?