Wazazi kuzini na watoto wao!

M.E.M.A

JF-Expert Member
Jul 27, 2013
1,373
472
Kwa nyakati tofauti pengine hata wewe mwana MMU umewahi kusikia juu ya jambo hili, au pengine limemtokea mmoja wa watu wako wa karibu.

Hili lina pande mbili
a) Ule wa hiari/makubaliano (voluntary). Japo injustifications zinaweza kuifanya aina hii kuchukua sura tofauti, mfano:
-hoja ya 'kurubuni'..japo haibadilishi ukweli kuwa ni kitu kilichofanyika kwa makubaliano.
-Ikiingia hoja ya umri hasa akiwa chini ya miaka 18 nayo pia inahafifisha swala la hiari au makubaliano.
b) Kubaka.
Hili wala halina maelezo mengi.

Baadhi ya mifano hai:
*Nimewahi kusoma shule moja na binti mmoja ambaye alikuwa anasimulia uhusiano wake wa kimapenzi na baba yake mzazi. Na akasema 'hakuna mwanaume yeyote anayeweza kunibabaisha'. Sikuweza kujua walianzaje maana kila ukimuuliza anakuuliza 'na wewe unataka nikupe'?

*Pia imekuwepo habari ya muda kidogo kuhusu mama aliyefunga ndoa na mwanae wa kumzaa huko Ruvuma.

*Kuna kipindi kimoja katika 'radio ya watu'..mama alikuwa anamshutumu baba anatembea na binti yao.

Swali:
Kwa nini mambo haya? Ina maana utu umeisha kiasi hiki? Ni tamaa za mabinti au wababa?
 
hapa baba anapaswa kulaumia japo hatuwezi kumuacha binti bila lawama. baba ni mzazi ambaye tunaexpect kwamba yeye ajenge misingi imara katika makuzi ya mtoto kama mzazi, sasa kama yeye anjiruhusu hata kumuingilia duuh hii ni abomination.
 
hapa baba anapaswa kulaumia japo hatuwezi kumuacha binti bila lawama. baba ni mzazi ambaye tunaexpect kwamba yeye ajenge misingi imara katika makuzi ya mtoto kama mzazi, sasa kama yeye anjiruhusu hata kumuingilia duuh hii ni abomination.
DEMBA kachangia saafi sana
 
Last edited by a moderator:
Mi nadhani wababa ndo wakulaumiwa, maana hata kama atakuwa anajitetea ni makubaliano yao, itabaki kuwa baba ndo chanzo ama sababu ya kumshawishi bintiye. Hivyo muhimu zaidi ni kujifunza kuhimili tamaa ndogo ndogo!
 
hii ni laana, imeandikwa amelaaniwa alalaye na binti yake, baba yake, kaka yake etc, na watu wote waseme amina! hakuna jipya, ni laana ambayo lazima wote wawili watachuma matunda yao hapahapa duniani na motoni zaidi. bofya SHERIA KWA KISWAHILI
 
hapa baba anapaswa kulaumia japo hatuwezi kumuacha binti bila lawama. baba ni mzazi ambaye tunaexpect kwamba yeye ajenge misingi imara katika makuzi ya mtoto kama mzazi, sasa kama yeye anjiruhusu hata kumuingilia duuh hii ni abomination.

Kwa kile kipindi cha radio ya watu mama alisema "binti amekuwa anajivalia nguo za ajabu ajabu na kujipitisha mbele ya baba yake ". Mama akikemea baba anaingilia kati. DEMBA hapa kama ni bakora utamchapa nani kama sio wote?
 
Last edited by a moderator:
Hii inaitwa baba kala mtaji!
Teh teh teh teh!
Hao wote wawili wana laana!
Km mimi ndio hakimu nakamata yule baba nakata makende kwanza!
Na yule binti naenda kumtahiri ili asipate mshawasha tena! Na naondoa ziwa la kushoto ili aharibike shoo!
Manake laana km hizi ndio zinataka hukumu km hizi!
Mnfnssssssssssss!
 
Kwa kile kipindi cha radio ya watu mama alisema "binti amekuwa anajivalia nguo za ajabu ajabu na kujipitisha mbele ya baba yake ". Mama akikemea baba anaingilia kati. DEMBA hapa kama ni bakora utamchapa nani kama sio wote?

naanza na baba kwanza nikiwa na nguvu zote halafu nikichoka naendelea na binti, baba kama mzazi unaanzaje kuintertain upuuzi? hayo mazingira baba aliyaandaa ilimtoto awe na fikra kwamba baba anampenda while mama anamuonea.
 
Ndio nasikia mtindo mpya wa wengi wawatoto wa kizazi kipya,
eti wanawatega ili watembee na wasure hususani ambao wapo vizuri kifedha
ili wawe wanawachuna vizuri.
Wababa hao nao kwa tamaa zao na kuzidiwa na nguvu za maisha ya utandawazi wanadanganyika kilaini
wanatusua tu makid wao wa dizaini hiyo.
Nasikia ndio stori za mujini nowdays 4 small chicks of sec schools to walk with their male parents
 
Hii tabia huanzia mbali sana. Kwa kawaida wababa huwapenda sana watoto wao wakike toka wakiwa wadogo. Upendo ule unatakiwa upungue asap mtoto akishafikisha 7 years! Ukiendelea hapo inakuwa shida. Imagine wakati mtoto mdogo baba atampakata, atamkiss, atamhug, yes nakubali kwa mtoto wa 2-5 years. Sasa mtoto wa 10 years wengine tayari wameshaanza kupevuka, such acts huchangia sana. Ila all in all nadhani wa kulaumiwa saaana ni baba. Amini usiamini WATU HAWANA HOFU YA MUNGU NDIO MAANA HAWAONI TABU KUFANYA UCHAFU HUU!
 
Kuna mfanyakazi mwenzangu yeye ni jinsia ya kike,siku moja tulikua tunazungumzia kitu kama hicho,nikamuuliza wewe vipi? Akajibu kama father atanipa mkwanja wa poa tu,namrekebishia mambo kwani kitu gani cha ajabu? Sasa je na hapo alaumiwe nani?
 
Back
Top Bottom