Wazanzibari tunashukuru kwa kutusemea sie watanganyika

sir.JAPHET

JF-Expert Member
May 18, 2012
699
133
kimsing,, Sizan kama kuna mtanganyika mwenye akili timam kwenye karne hii na zama hiz ana chekelea na kukeneka na kufurah et kwa kuwa ananufaika na muungano, sis wenyewe watanganyika hatutaki, tunarejea kaul ya rais wenu wa kwanza aliyeulinganisha muungano na "kot likubana waweza kulivua yakhee" nazan wakat umefika hakuna marefu yasiyo na ncha , kila jambo lina wakat na majira yake hivyo kuna majira ya kuungana na kutengana, nazan umri wa muungano na afya yake vimechokaa n wakat wa kufa kwenda akhera, kwa kweli unatukera bora tuje zenj kwa paspot!
 
Back
Top Bottom