Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Mambo mazuri hayaji kirahisi lazima u ffight ndio uyapate....na wasudani kusini (zanzibar) wameanza kula maisha (matunda yao) baada ya kutengana na mnyonyaji sudan kaskazini(tanganyika)
picha ni bendera ya sudan kusini ikipandishwa UN kwa mara ya kwanza na kiti chao ndani ya UN
picha ni bendera ya sudan kusini ikipandishwa UN kwa mara ya kwanza na kiti chao ndani ya UN