Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,340
Watanzania Wafia Nchi , ambao Uzalendo wao umetukuka , waliojitokeza hadharani kujaribu kuokoa mali za nchi yao kwa kuandamana kupinga Mkataba wa Maisha yote wa Bandari za Tanzana waliotunukiwa Wageni wa DP WORLD , na baadaye kukamatwa kinyama na Polisi ambao nao ni Watanzania , HATIMAYE WAMEACHIWA KWA DHAMANA .
Walikuwa wanatetewa na Mawakili wasomi Deogratius Mahinyila na Dickson Matata .
Walikuwa wanatetewa na Mawakili wasomi Deogratius Mahinyila na Dickson Matata .