sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
AMRI YA NNE: Ikumbuke siku ya Sabato uitakase, Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote; lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako
Tusiingie sana kwenye hizi dini na sheria zao bali tuzungumzie siku ya kuabudu.
Siku ya Jumamosi ndio iliyotengwa kuwa ya kisabato tangu zamani kwa wayahudi, nikimaanisha ya kwamba kina Musa hadi Yesu ndio waliiabudu hio siku na kuitakasa kuwa siku takatifu, Ni mpaka leo ukienda Israel siku ya Jumamosi maduka mengi na ofisi nyingi hufungwa kuruhusu watu waiabudu siku ya sabato.
Na hata kwa wasabato hata wa hapa kwetu, wengi wenye biashara huwa hawafungui jumamosi
Ilikuwaje ikabadilishwa kuwa jumapili ?
Tusiingie sana kwenye hizi dini na sheria zao bali tuzungumzie siku ya kuabudu.
Siku ya Jumamosi ndio iliyotengwa kuwa ya kisabato tangu zamani kwa wayahudi, nikimaanisha ya kwamba kina Musa hadi Yesu ndio waliiabudu hio siku na kuitakasa kuwa siku takatifu, Ni mpaka leo ukienda Israel siku ya Jumamosi maduka mengi na ofisi nyingi hufungwa kuruhusu watu waiabudu siku ya sabato.
Na hata kwa wasabato hata wa hapa kwetu, wengi wenye biashara huwa hawafungui jumamosi
Ilikuwaje ikabadilishwa kuwa jumapili ?