NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Uswahili ni kwetu kuna wawekezaji kutoka china.
Jamaa ni balaa wanaharibu miundo mbinu ya kimasikini tuliyo nayo ile mbaya kwani wanapitisha yale maroli yanayobeba macointainer bila huruma na kusababisha barabara kudidimia na kuwa kisiwa kila baada ya nvua kunyesha.
Wanamtaa wote hatuoni faida ya hawa wawekezaji kabisa zaidi wanaleta machungu kwa sisi tunaotumia barabara hiyo.
Serikali inapaswa kuangalia haya mamabo ya wawekezaji kujiamulia mambo mengine yanayo kera raia na kuharibu miundo mbinu yetu
Jamaa ni balaa wanaharibu miundo mbinu ya kimasikini tuliyo nayo ile mbaya kwani wanapitisha yale maroli yanayobeba macointainer bila huruma na kusababisha barabara kudidimia na kuwa kisiwa kila baada ya nvua kunyesha.
Wanamtaa wote hatuoni faida ya hawa wawekezaji kabisa zaidi wanaleta machungu kwa sisi tunaotumia barabara hiyo.
Serikali inapaswa kuangalia haya mamabo ya wawekezaji kujiamulia mambo mengine yanayo kera raia na kuharibu miundo mbinu yetu