Waume Zetu Wa Ki Africa, Jifunzeni Kupenda Wake Zenu, Msikomalie Culture Stigma! TIMES ARE CHANGING!

Hivi kati ya mi na wewe mla makombo yupi? Ngoja nikupe ratiba yake labda utaelewa. Kwanza utaratibu wetu hauna tofauti sana na ndoa nyingine za matala kasoro tu yeye mkiristo. Siku nyingine alala kwangu nyingine kule lakini nyingi kwangu. Sijali kama mwenzangu anakubali ratiba hiyo au anaipenda hiyo ni juu yake. Anapolala kule inakuwa hivi, saa kumi na mbili asubuhi yuko hapa twapata kustaftahi pamoja. Anaacha gari hapa nampeleka ofisini na gari yangu. Halafu naenda kufungua duka namwachia msichana halafu nampigia kujua kama ana kazi nyingi. Kama hana kazi nyingi narudi ofisini kwake kusoma email zangu kuangalia blogs na JF. Tunaenda lunch pamoja tunaagana huko naenda dukani hadi saa kumi. Narudi ofisini kumpitia namsubiria kama kuna mambo hajamaliza. Tunapitia dukani kwangu nafunga hesabu za duka. Tunaenda sehemsehem kupata moja baridi moja moto halafu tunaenda kwangu. Anaoga na kubadili tunakula na maongezi kadha wa kadha na watoto hadi watoto walale tunatumia muda wetu kufurahi saa sita anachukua gari yake anarudi kule. Asubuhi ratiba inaendelea kama mwanzo. Yule anapokuwa kwenye makongamano tunaamua wenyewe tulale kwangu au kwake, kwa raha zetu. Nani mla makombo hapo kwa mawazo yako?
Wewe kama ulivaa shela nishakupongeza tayari, hongera sana. Inakutosha hiyo. Mie shela sijavaa, kweli hilo sidanganyi. Lakini mwanamme ninaye. Wewe kaa na shela yako, ukikumbukia sana kaangalie zile DVD za harusi yako na mapicha kwenye album. Wewe unapofaidi mapicha mi nafaidi kitu cha live huku kwa raha zangu, upo? Na wine zikikupungukia uje dukani kwangu ninazo, tena nitakupa na za ofa.
POLE SANA KWA KUTOKUVAA SHELA, HALAFU UNANUKA UZINZI, MAANA HUJIFICHI NI JINSI GANI UNAVYOIUZA, Loh!! CHANGU ASIYESIMAMA BARABARANI MKUBWA WEEEEE!!!!!!
 
nyumba ndogo wanapata bure?hiyo gharama ya kuendesha nyumba ndogo angetumia kuimarisha familia yake isingetosha?hapa namaanisha fedha na muda pia.wenza wenye nyumba ndogo sijui kidumu hawajui mapenzi ni wachafuzi tu. sishangai lakini kizazi chetu cha sa iv kinapenda mteremko sana kwa maana hiyo hawana muda wa kufix walichonacho wanatupa wanafuta kipya na huo ndo mchezo.


Sawa nimekupata, lakini naomba ukumbuke kitu kimoja kwamba siku hizi nyumba ndogo ugharamia kila kitu kwani nazo zinaenda na wakati. Sikupi mifano lakini I have evidences za nyumba ndogo kuhudumia jibaba ili tu apate her share ya starehe ya kitandani. Kwa mwanaume anayemsahau mke na watoto wake nyumbani kwa ajili ya kupenda nyumba ndogo zaidi huyo ana uwalakini kichwani. Nyumba ndogo ni muhimu na hazifi kamwe.
 
Yaani acha tu..
Ila wanaume wameprove one of my theories:women hate the truth as much as Men hate reality
mi nadhani mtu anapoongelea maisha yake wengine huona its more of a fantasy but in reality ndo maisha yake,vidole havilingani.
Basi tu wengi wameshindwa kuelewa what the thread meant:Mungu hakukosea aliposema pendeni wake zenu,hakutaja mayatch,jimmy c,armani etc,.kila mwnaume amepewa uwezo wake wa kuonesha anampenda mkewe ila sasa wengi hawatumii hicho,na hii thread imeonesha hili maana aki wangekua wanawaonesha wake zao,they wouldnt feel this guilty lol maana the thread ipo soo open.wangekuja na point as in:mimi nafanya kulingana na uwezo wangu etc sasa wengi ni lara this lara that,mara agegedwe tu,siwezi
.its dissapointing.
Huwezi kufananisha bill gates anachomfanyia mkewe na tuseme anachonifanyia wa kwangu
yeye atamnunulia mkewe saa ya $80000, wa kwangu ataninunulia ya 5000 but wote si wameonesha upendo or kujali kwa uwezo wao?and very few women ataanza kujiuliza mume wa flani kamnunulia ya bei ghali;first thought itakuwa:My husband kaninunulia saa fullstop

wangapi these days wakitoka kazini wanaanzia bar kwanza saa 6 ndo anafika nyumbani watoto wamelala,weekends yupo with friends,.mtoto akiumwa anajua kwa simu na anapona anajua kwa simu?wangapi wanao hata hawajui classteachers wao?kazi ya mama..yani mwanamke kutwa kuhangaika na watoto as if kawapata mwenyewe?..mi nasema tu:to all the absent fathers,start being present!
Ceteris paribus:wakati nakua my dad was present,he still is na ilikua inamuuma sana sisi kulala bila kumuona,akiamka kesho yake asubuhi he would see us off to school atleast..homework yeye anasupervise akiwepo.
Mi sijui whats wrong with our generation honestly,Mungu atusaidie..kila mtu anakimbia majukumu yake,loss to the kids!

Kugonga like peke yake haitoshi...ila well said tracy.
 
Hawa wanawake wa kibongo mitandao inawaharibu. Hayamaisha unayozungumza ni ya kwenye tamthilia.
Hakuna mwanaume hata mmoja anaweza kuishi maisha hayo. eidha taigiza tu kwa mda fulani na kama kisingizio kumegewa aah kwanini uwe mtumwa kwa mwanamke?

Hayo maisha unayoyasema ni ya kwenye vitabu na kwenye TV.

USHAURI: Kama unataka maisha ya hivyo tafuta kizee cha kizungu uishi nacho la sivyo utatumika sana.
Jiheshimu, uheshimiwe.

Hapana da ishu wanaume wa kiafrika ni ngumu kuelewa wala hata co maisha ya kwenye tamthilia kwani hela unayospend kuwanunulia bia marafiki bar ni shilingi ngapi? ila kumfanyia mkeo ndo unaona mapenzi ya kwenye tamthilia jitahidini bana wanaume wa kiafrika kwenda na wakati,Yaani kumtoa mke na familia unaona ngumu ila kuspend bar weekend nzima ni kawaida camoooooon wanaume wa kiafrika badilikeni
 
POLE SANA KWA KUTOKUVAA SHELA, HALAFU UNANUKA UZINZI, MAANA HUJIFICHI NI JINSI GANI UNAVYOIUZA, Loh!! CHANGU ASIYESIMAMA BARABARANI MKUBWA WEEEEE!!!!!!

Wewe hapo ndiyo changu unayejiuza. Limekuchoma eeeeeehh?
 
Maneno Murua Hili Ni Darasa Tosha! Ila Wakati Mwingine Cc Wanawake Tunajishusha Mno Thamani Matokeo Yake Mwanaume Anakuona Mteremko Hajisumbui Kukujali!
 
Maneno Murua Hili Ni Darasa Tosha! Ila Wakati Mwingine Cc Wanawake Tunajishusha Mno Thamani Matokeo Yake Mwanaume Anakuona Mteremko Hajisumbui Kukujali!
 
sio kila jambo linapaswa kubadilika kama unavyo suggest bidada
 
[MENTION][MENTION]lara 1[/MENTION][/MENTION] hii kitu yako ilikuwa inaujumbe mzuri lakini namna ulivyoiwasilisha imekaa kitamtjilia tamthilia , pili imeambatana na vitisho na tatu haijaangalia mapenzi yapo pande mbili........... all in all meseji tumeipata , na kwa wengine kama sisi tunaopenda kula bata na wenzi wetu bila hata kuwa na sababu au bila kutumia hizo bata kama njia ya kumlaghai mwenzi wako ( blackmailing)....



ila kwenye hii hapa..........
Mdingi alikuwa akirudi nyumbani saa 2 usiku ujue kuna mgonjwa or he is doing us a favor. And at his times it was acceptable but now Hell no!!!!!!!!!
.... utakufa na ugonjwa wa moyo tu , saa 2 usiku mwanaume awe tayari ndani? HELL NO!!!!
 
Yote nitafanya, ila hapo kwenye red sikupi ng'o!! na tena nakufanyia na inda, maana siku hiyo natia udi inakuwa inanukia ile mbaya, halafu hupati kuitumia.


khaaaaah!!!!! na mimi mwenyewe huwa stimu zinakataga tu , lakini ikitokea namazuka na hiyo papushi naitaka .......... walahi tena Lisa nakupiga kimeno laivu bila chenga ,mwishowe utaikatikia tu mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Labda uwe si mwanaume kamili ndiye anayeweza kuangalia mambo halafu akalala usingizi, maana yanawekwa mambo makubwa na chachandu juu ambazo hujawahiziona , kinavaliwa kiguo cha usiku, chpesiiiiiii, kioneshacho maungo, kisha nalala kifudifudi, mzigo nakuachia , ukiingia unakutana nao umenona, unanukiaaaa,LAZIMA MATE YAKUDONDOKE NA ukigusa tu unaambiwa "HAUTUMIKI"


nyooooooo!!!!!!!!! eti hautumiki , ndiyo tutaona sasa siku hiyo.
 
First of all I am a woman na ninasema hivi kwa sababu kuna wengine hawaendi kithungu kama post inavyosuggest na kama unataka kupata mambo ya kizungu zungu ni bora umuweke daddy karibu na watoto wake kuliko kunag na kuzira na kununa kila wakati. This will drive him away mbali hautaamini.

Na katika ndoa disappointments zitakuwapo tu sio kila siku itakuwa mteremko what matters is how you deal with the situation at hand


kuna wanawake mnapointi sana humu jamvini , kama kweli kihalisia ndiyo upo hivi nakupa pongezi wewe pamoja na huyo mwenzi wako.
 
Tatizo la wanaume mambo haya aliyoorodhesha lara 1, hawatafanya kwa wake zao, na hapa wanaona kuna ugumu sana kufanya, lakini nyumba ndogo zinatimiziwa haya na kuzidi. Acheni kujishebedua hapa as if hamyajui. acheni kuwafanyia vidumu, fanyieni wake zenu, ndio wenye uchungu na nyie. Karaha ulete kwa mkeo, lakini raha zote unapeleka wa nyumba ndogo.
Hapa mnajikausha kama kweli vile lol, hamna haya nyie wababa.

Kama nyumba ndogo zinafaidi na wewe kuwa nyumba ndogo
 
hahahaaa....! Bora nimsusie vyote lakini sio kile kiungo muhimu

mwambie Lisa hayo makitu

Hahahaahahaahaaa!!!!!silalami ng'o, kwa sababu najua utarudi tu, na kwa sababu vya ndani ni vitamu haitanisumbua sanaaaaaaa kukukamata mpk ukamsahau huyo kiraka wako, chezeya mke wa ndoa wewe.

unajipa moyo tu , ila kiukweli inauma aseeeeh!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
kuna wanawake mnapointi sana humu jamvini , kama kweli kihalisia ndiyo upo hivi nakupa pongezi wewe pamoja na huyo mwenzi wako.

Asante, my motto is to give my best in everything I do, hakuna mkamilifu katika hii dunia sasa itakuwaje nimtake mtu awe perfect wakati it is next to impossible. tunabebana na kujengana along the way na maisha yanasonga vizuri tu.
 
kuna wanawake mnapointi sana humu jamvini , kama kweli kihalisia ndiyo upo hivi nakupa pongezi wewe pamoja na huyo mwenzi wako.

Unatambua kwenye miti mingi hakuna wajenzi? Ndo walivyo wanawake wa humu.
 
Maneno Murua Hili Ni Darasa Tosha! Ila Wakati Mwingine Cc Wanawake Tunajishusha Mno Thamani Matokeo Yake Mwanaume Anakuona Mteremko Hajisumbui Kukujali!

Unaelewa fahari wawili hawakai zizi moja? Jaribu kupambana na mmeo uone maumivu yake kujifanya mjinga ni busara pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom