excuse moi! Hebu nikumbushe u-criminal wake...., nimesahau kdg, si unajua miaka mingi? Nikumbushe tafadhali
Alishirkiana kwa karibu na Alhaji Hasan Mwnyi jambazi mwenzake waliozana watoto. Mkapa aliamua auwawe kwani alitaka kutoa Siri ya wizi wa kura 1995. Wale walishaachiwa kitambo kwa msamaha wa JK kwenye birthday yake. After all familia ilifidiwa nassikia över 500 Million Tshs.