Pharmacy
Member
- Jul 13, 2021
- 24
- 17
Jeshini wizarani upand wa waasi nk ningumu kumezawako jeshini au wako kwene makundi ya waasi
Jeshini wizarani upand wa waasi nk ningumu kumezawako jeshini au wako kwene makundi ya waasi
walifika kwa usafiri wa mabasi!!Kuna jamii ndogo ya Watusi mkoa wa mbeya ambayo wamekua ni wenyeji kwa muda. Kwasababu ni jamii ya watu wachache si rahisi kunotice.
Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.
Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?
Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda
Ushoga uliingiaje kwa wangoni mzee baba ?Em tuache Wangoni, tuko zetu hapa Songea wala hatutaki tabu kabisaa,
Wazungu waliletaa.Ushoga uliingiaje kwa wangoni mzee baba ?