CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
wale watuhumiwa(wavuvi haramu)wa samaki wa magufuri wamepigwa mvua 20 kila mmoja na wengine2 wameachiwa huru na meli imetahifishwa na serikari!
Wakenya wameachiwa huru!!Duuuuuu! aisee hao ingekuwa kwao china, mida hii tuko tunachimba makaburi aiseeee! Itakuwaje sasa kwa familia zao na wale wakenya vp?
Huyo pilato anastahili kuongoza kesi za EPA, PCCB NA ZILE ZA UCHAGUZI