Watu weusi ni 'adui', asema Gavana Marekani

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,526
_90954191_maine.jpg


Gavana wa jimbo la Maine nchini Marekani amesema kuwa watu wa rangi ni 'adui' wa jimbo lake na kuonekana akipendekeza wapigwe risasi.

Akizungumzia kuhusu juhudi za jimbo la Maine kukabiliana na uhalifu wa dawa za kulevya,Paul LePage amesema kuwa adui mkubwa kwa sasa ni watu wenye rangi ama wale wa Hispanic.

''Wakati unapokwenda vitani,na adui anavaa nguo nyekundu na wewe unavaa nguo za rangi buluu ,unapiga risasi waliovaa nyekundu''.

Wanachama wakuu wa chama cha Democrat wamemtaka kujiuzulu.

Bwan LePage alitoa matamshi hayo alipokuwa akitaka kusahihisha matamshi aliyotoa hapo mbeleni yaliokosolewa kuwa ya kibaguzi.
=================


A bad guy is a bad guy. I don’t care what color he is. When you go to war, if you know the enemy, the enemy dresses in red and you dress in blue, you shoot at red. … You shoot at the enemy. You try to identify the enemy. And the enemy right now, the overwhelming majority of people coming in are people of color or people of Hispanic origin.

The remarks were at a press conference responding to the news and controversy that LePage had left a state representative an expletive-laden, homophobic voicemail. According to the Portland Press Herald, a TV reporter suggested that State Rep. Drew Gattine (a Democrat) had called LePage (a Republican) a racist, and asked LePage how he felt about it. Upon hearing about it, LePage left Gattine a voicemail with profanity and homophobic insults:

Mr. Gattine, this is Gov. Paul Richard LePage. I would like to talk to you about your comments about my being a racist, you cocksucker. I want to talk to you. I want you to prove that I’m a racist. I’ve spent my life helping black people and you little son of a bitch, socialist cocksucker. You… I need you to… Just friggin’. I want you to record this and make it public because I am after you. Thank you.

LePage later expanded on his rage to the Portland Press Herald, saying, “When a snot-nosed little guy from Westbrook calls me a racist, now I’d like him to come up here because, tell you right now, I wish it were 1825. And we would have a duel. That’s how angry I am. And I would not put my gun in the air, I guarantee you; I would not be [Alexander] Hamilton. I would point it right between his eyes, because he is a snot-nosed little runt and he has not done a damn thing since he’s been in this legislature to help move the state forward.”

Gattine, who has opposed some of the governor’s welfare reform plan and “tough-on-crime” efforts in the face of the opioid painkiller and heroin epidemic, denied calling LePage a racist.

But if he had, he wouldn’t be the first to do so. LePage came under fire earlier this year after making other racist remarks at a town hall. LePage said:

These are guys with the name D-Money, Smoothie, Shifty. These types of guys, they come from Connecticut and New York. They come up here, they sell their heroin, then they go back home. Incidentally, half the time they impregnate a young, white girl before they leave, which is a real sad thing because then we have another issue that we got to deal with down the road.

The comments, surfaced by Get Right Maine, clearly played on racial overtones by using names typically attributed to black culture and hip-hop, and suggested that black people are outsiders, criminals, drug dealers, and rapists who take advantage of young white women. This racial trope in the war on drugs goes back to at least the late 19th and early 20th centuries, when local, state, and federal lawmakers pushed drug laws by suggesting that minority people would lure and harm young white women with drugs.

So LePage’s most recent racist remarks are really just the latest in a string of offensive comments over the past several months.


Source: Vox. com
 
Huenda ndio maana wadada wa Bongo wamekazana sana kupiga MAPOODAA!
 
HISPANICS NA WEUSI WAMEJIACHILIA MNO.WANAJIMALIZA WENYEWE;
wanaongoza kwa familia zilizovunjika,ugei,ujambazi na madawa ya kulevia
 
Kuna ngoma huku kwetu nyeusi hizo ila ukizikuta kwenye vijiwe zinavyowatetea wamarekani utadhani wanajuana
 
HISPANICS NA WEUSI WAMEJIACHILIA MNO.WANAJIMALIZA WENYEWE;
wanaongoza kwa familia zilizovunjika,ugei,ujambazi na madawa ya kulevia

Mimi kilicho nishangaza zaidi ni ma Afro Amerikani kuwachukia Waafrica, Wanasema sisi ndiyo tulihusika kuwauza utumwani - ukisikia wanayo yasema kuhusu Africa na watu wake utachoka!!

Ukikutana na Blacks ambao ni waungwana kidogo awafoki foki ovyo na dhalau basi ujue hao wanatoka kwenye familia yenye kipato kizuri na wamesoma - wengine shida tupu.

Binafsi nilikuwa siji-feel safe kukatiza sehemu ambayo inakaliwa predominantly na Blacks, uwezi kujua patatokea nini, unaweza kuwa caught kwenye cross fire ya ugomvi between magenge yao ya mihadarati ni vita kabisa, wanatwangana risasi kishenzi wakati mwingine unaweza kukumbana nao wakifukuzana na Polisi risasi nje nje - sijui maisha gani yale!!

Wahispanic on the other end hawana mambo ya kuji involve kwenye gun battle unnecessarily, kazi yao ni kutafuta mbinu za kuingiza mihadarati kimagendo USA kutoka Latin America, wanaweza wakati mwingine kurushiana risasi na wapelelezi waki Polisi wakitaka kutoroka wasikamatwe deal yao ikishtukiwa na Dola - otherwise Wahispanic hawana tatizo na mtu, ni mara chache kujingiza kwenye matukio ya violence.
 
Mimi kilicho nishangaza zaidi ni ma Afro Amerikani kuwachukia Waafrica, Wanasema sisi ndiyo tulihusika kuwauza utumwani - ukisikia wanayo yasema kuhusu Africa na watu wake utachoka!!

Ukikutana na Blacks ambao ni waungwana kidogo awafoki foki ovyo na dhalau basi ujue hao wanatoka kwenye familia yenye kipato kizuri na wamesoma - wengine shida tupu.

Binafsi nilikuwa siji-feel safe kukatiza sehemu ambayo inakaliwa predominantly na Blacks, uwezi kujua patatokea nini, unaweza kuwa caught kwenye cross fire ya ugomvi between magenge yao ya mihadarati ni vita kabisa, wanatwangana risasi kishenzi wakati mwingine unaweza kukumbana nao wakifukuzana na Polisi risasi nje nje - sijui maisha gani yale!!

Wahispanic on the other end hawana mambo ya kuji involve kwenye gun battle unnecessarily, kazi yao ni kutafuta mbinu za kuingiza mihadarati kimagendo USA kutoka Latin America, wanaweza wakati mwingine kurushiana risasi na wapelelezi waki Polisi wakitaka kutoroka wasikamatwe deal yao ikishtukiwa na Dola - otherwise Wahispanic hawana tatizo na mtu, ni mara chache kujingiza kwenye matukio ya violence.
UKIKUTANA NAO WAAMBIE AFRIKA BADO IN ARIDHI KUBWA HAILIMWI WARUDI TUTAWAPOKEA WAJUKUU ZETU
 
hivi ushwah kuamin kua ubaguzi umeisha katika dunia hii... acha watuambie tu ukweli
 
Yaani wakati anaporomosha matusi hayo Rais wa nchi hiyo ana vinasaba vya weusi. Ama kweli kuna viumbe hawawezi kufikiria nje ya "box". Wao Marekani ndo mwanzo na mwisho. Kwa ubaguzi na chuki za viumbe kama hawa, tusitarajie dunia ikawa salama.
 
WATU WEUSI WA MAREKANI WANATUMIWA SANA NA LIBERALS.WANADHANI WAMEPEWA UHURU WA KUFANYA WANALOTAKA LAKINI WANAJIMALIZA.WAZUNGU LIBERALS WANAWAUZIA BIDHAA ZA KUENDELEZEA UJINGA WAO
 
UKIKUTANA NAO WAAMBIE AFRIKA BADO IN ARIDHI KUBWA HAILIMWI WARUDI TUTAWAPOKEA WAJUKUU ZETU

Niliwahi kuwashauri kwamba wajifunze kuzungumza Kiswahili at least wawe na kitu cha kujivunia sio kushabikia sikukuu yao ya KWANZAA(neno la kiswahili) ambayo uisherekea kwa kuonyesha culture na mapishi ya Kiafrica.

Niwaliwambai kwa nini mnashindwa kuwaiga wahamiaji kama Wahindi, Latinos, Waarabu, Wahindi wekundu nk ambao wana maintain kuzungumza lugha yao ya asili bila kujali generation zimepita ngapi tangu wahamie Marekani - lo, kuwambia hilo walitaka kunitoa macho? Wanasema majority ya Black American wametokea West Africa kwa nini wasizungumze ki Hausa, ki IGBO au lugha za Ghana!!! Wachache sana walio kubaliana na hoja yangu na nilikuja gundua walio kuwa very vocal ni wale walio hamia Marekani kuanzia miaka ya sitini na kuendelea.
 
Niliwahi kuwashauri kwamba wajifunze kuzungumza Kiswahili at least wawe na kitu cha kujivunia sio kushabikia sikukuu yao ya KWANZAA(neno la kiswahili) ambayo uisherekea kwa kuonyesha culture na mapishi ya Kiafrica.

Niwaliwambai kwa nini mnashindwa kuwaiga wahamiaji kama Wahindi, Latinos, Waarabu, Wahindi wekundu nk ambao wana maintain kuzungumza lugha yao ya asili bila kujali generation zimepita ngapi tangu wahamie Marekani - lo, kuwambia hilo walitaka kunitoa macho? Wanasema majority ya Black American wametokea West Africa kwa nini wasizungumze ki Hausa, ki IGBO au lugha za Ghana!!! Wachache sana walio kubaliana na hoja yangu na nilikuja gundua walio kuwa very vocal ni wale walio hamia Marekani kuanzia miaka ya sitini na kuendelea.
Achana nao, wazungu wanawatumia kama mtaji wao kisiasa. So sad. walioenda 60s hao ni sawa tu na wanaotaka bongo kwenda south africa eti kutafuta maisha wakifika wanakutana na zenophobia, maana wenyeji hawawapendi, maana wageni huonekana kama wanapendwa zaidi na wazungu wa kule kwa kuwapa kazi wakiamini hao ndo wakikaa hapo hawana muda wa kusalimia shangazi, mjomba, bibi, mama mdogo, nimefiwa, wao ni kazi tu. alafu wanawatumia kukandamiza waafrika wennyeji.
 
Back
Top Bottom