Tman900
Senior Member
- May 30, 2017
- 174
- 343
Watu wenye maeneo, wanapoamua kuuza, au unapoamua kutafuta kiwanja, yaani wanao miliki viwanja au maeneo huwa wanaringa sana, wanapotaja pesa utadhani wanataja majani au kitu kilicho rahisi sana. Kukipata!
Wanaongea kwa kujiamini, lipa nusunusu utamalizia hiyo milioni 2, 3 au 4 utamalizia Baada ya Mwezi mmoja au miwili, wanavyoongea unaweza sema wao wanauwezo wa vyanzo vya kuingiza hiyo Pesa.
Pia huwa wanajiona kama Dunia wameshamaliza. Ongea yao huwa ni ya dharau sana. Sasa sawa ndugu zetu, madalali wao ndio usiseme wanataja pesa utadhani wanataja mchanga au njasi, maneno kibao.
Wanaongea kwa kujiamini, lipa nusunusu utamalizia hiyo milioni 2, 3 au 4 utamalizia Baada ya Mwezi mmoja au miwili, wanavyoongea unaweza sema wao wanauwezo wa vyanzo vya kuingiza hiyo Pesa.
Pia huwa wanajiona kama Dunia wameshamaliza. Ongea yao huwa ni ya dharau sana. Sasa sawa ndugu zetu, madalali wao ndio usiseme wanataja pesa utadhani wanataja mchanga au njasi, maneno kibao.