Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,652
- 8,542
Katika miaka 3 niliyojiunga humu JamiiForums nimekutana ID mbalimbali zenye majina mabaya na nyingine hata kuzisoma na kutamka ni kazi.Kama zifuatazo : NYANI MZEE ,jichawi , Bujibuji ,@mzabmzab , @chinchlla coat , nyakandula ,Erythrocyte ,Wervemarcel ,@jacspyro,GENTAMYCINE ,makalio ya kienyeji ,Mzizi wa Mbuyu,MziziMkavu ,Nyani Ngabu,@zeduduz ,@mpigamsuli,@mavimavi ,@ndyoko,kyamafi, @ulukulokwitanga,@kifilio ,Naibili , kabanga , @Kashara , Jaslaws , kitambiflat , omujubi , Tanya , gambakuffu , kwetumasoko , nanya , nitonye , nyakandula , kwenzi , MSAGA SUMU , kadololo , jangala , shonkoso , Ipycalypse nk wadau mnaweza na nyie mkaongeza kwa kuweka ID mlizokutana nazo humu