DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,092
- 45,778
In this life baada ya kusoma Kitabu cha The Power of Now by Echhart Tolle nimeelewa kuwa sisi kama binadamu huwa tunajidanganya sana kuhusu kuwaza mambo yajayo na yaliyopita.
Honestly, hakuna hata siku moja mtu unaweza ukaamka uka-experience kuhusu future na past ila utaamka na ku-experience now.
Sasa kama kila wakati unajikuta upo now (wakati uliopo) unachobidi kufanya ni ku-enjoy maisha muda wote, 24/7.
Na watu wenye furaha ni wale ambao hawana muda wa kuwa na hofu kuhusu mambo yajayo au sana kuwaza yaliyopita.
That is way watoto wadogo muda Mwingi wapo happy because they don't think about past or future deeply.
So tomorrow is dulusion, kesho huwa haipo ni akili tu ya binadamu ndo ilikaa ikabuni masaa na siku lakini binadamu aliye hai huwa haishi past wala future ila anaishi now.
Honestly, hakuna hata siku moja mtu unaweza ukaamka uka-experience kuhusu future na past ila utaamka na ku-experience now.
Sasa kama kila wakati unajikuta upo now (wakati uliopo) unachobidi kufanya ni ku-enjoy maisha muda wote, 24/7.
Na watu wenye furaha ni wale ambao hawana muda wa kuwa na hofu kuhusu mambo yajayo au sana kuwaza yaliyopita.
That is way watoto wadogo muda Mwingi wapo happy because they don't think about past or future deeply.
So tomorrow is dulusion, kesho huwa haipo ni akili tu ya binadamu ndo ilikaa ikabuni masaa na siku lakini binadamu aliye hai huwa haishi past wala future ila anaishi now.