Watu wa vijijini mna vitabia sana

Ccm wanatumia ujinga wa Watanzania kama mtaji wao.
Kijijini hakuna coverage ya media, nivgumu kujua maswala kama Dowans n.k, lazma vyama vya upinzani vifanye kazi kutoa darasa jamii. Wasingojee kipindi cha chaguzi tu.
Tuelewe kuwa wazee wetu wamelelewa na ccm, inahitaji nguvu ya ziada kumpa somo auelewe ubaya wa ccm.
Vijana nao wanatuangusha, mikutano wanajaa ila kura hawapigi.
 
unajua huu muda ni wakujipanga? angel acha kupani kabisa!
mbona miji mingi magamba yanaongoza? hata hapo dar majimbo mangapi yako kwamagamba?
ni hivi watanzania wengi bado hawajafikiwa na elimu hii!
hata hivo chadema wajipange wasisubiri uchaguzi tu!
wenzao ccm wanaviongozi hadi wa nyumba kumi! hapo unategemea nini?
chadema mkiendelea hivi 2015 msitegemeee kitu!
magamba yatachukua inchi!
 
Hapana tatizo si kuwa n watu wa vijijin kwamba hawaelewi no hii ni kutoelimishwa. Wakielemishwa wakakataa hapo ndio tuwalaumu. Kwani kwa zitto, Tundu lissu, shinyanga, ukerewe, etc chadema kote ilikochukua ni mijin tu. Watu walielimishwa wakaelewa. Inauma, ni kwel cdm tulipata watu wengi kwenye mikutano ila wengi wao walikuwa hawajajiandikisha hii ni kutokana na kuwa kujiandikisha watu hawakukupa kipaumbele kipindi kile. Na magamba walilijua hili ndo mana hawakuboresha daftali la kudumu. Pamoja na hilo tutambue kuwa watu wameshatambua mistakes. Utashangaa next time watu watakavyojiandikisha. Huu ni mwanzo mzur kutoka kutokuwa na mgembea uchaguz uliopita leo baada ya miez 10 tu difference ya votes 4000 tu na mshindi huoni hayo ni maendeleo makubwa sana ya kujipongeza. Tusikate tamaa angalia chaguz ndogo za madiwan zilizokuwa zinaendelea jana nyingi cdm tumechukuwa japo kuwa sina idadi kamili. Hii inaonyesha ni kiasi gani watu wamebadilika. Let hope freedom is coming tomorrow. Nawasilisha
 
Angel msoffe...unachoongea hakina mantiki na unawaonea watu wa vijijini bure..kwani Dar, ambapo majimbo yote yamechukuliwa na CCM ni wana vijiji??? kama vipi tunataka Elimu ya Uraia ya Kutosha pote Vijijini na Mijini hasa Dar Es Salaam
 
Tatizo sio vijiji wala miji. Tatizo kubwa ni NJAA ndugu yangu. Njaa ndio zimetufikisha hapa tulipo.
 
Back
Top Bottom