Watu wa Daslamu msidhani hatujui kinachowapata huku mjini

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,341
51,904
Bila salamu!

Mnajifanya wajanja sana, maneno mengi kama machinga wa kampuni wanaotembeza bidhaa. Mnatuona tuliopo mkoani kama mmetupiga KO lakini sisi tunawadere tuu, tunawalia gap, tunajua mbele kuna tuta.

Msidhani hatuna habari zenu. Tunazo sana. Tunajua chakula chenu kikuu ni Ugali nyanya chungu ndio maana siku ya sikukuu na Mitoko yenu mkienda location mnajisnap, ati mnataka tuwaone mnakula maisha. Mbona mkila zile nyanya chungu zenu na bamia hampost wajinga nyie.

Msidhani hatujui moto unaowawakia hapo mwendokasi na kwenye Daladala. Tunajua sema tunawachora tuu mnavyokuja kujisemesha. Wapi kuna dungadunga kama sio Daslamu.

Kazi kuvizia vizia mishangazi iwalee. Unafikiri hatujui. Tutaachaje kujua wakati Waganga mnaowafuataga wanatoka huku mikoani. Kijana mdogo unachale mpaka Ikweta kisa kutafuta mishangazi. Alafu unadhani ni siri. Mnajidanganya sana.

Sisi wamikoani tutabaki kuwa Baba zenu. Mkopo tulishapita miaka mingi sana.

Mnajidanganya na hayo magorofa ambayo sio yenu. Hivi ukipiga picha kwenye ghorofa inamaanisha nini kama sio ushamba maboya ninyi. Ghorofa sio lako, na hutokuja kulimiliki lakini kijana kayamaliza majengo yote ya Daslamu.kazi kupost tuu.
Utasikia, now Kempinski Hotel, mara life good at Serena, mbuzi nyie. Mmelogwa sio bure.

Nitapiga mtu Hapa.
 
Bila salamu!

Mnajifanya wajanja sana, maneno mengi kama machinga wa kampuni wanaotembeza bidhaa. Mnatuona tuliopo mkoani kama mmetupiga KO lakini sisi tunawadere tuu, tunawalia gap, tunajua mbele kuna tuta.

Msidhani hatuna habari zenu. Tunazo sana. Tunajua chakula chenu kikuu ni Ugali nyanya chungu ndio maana siku ya sikukuu na Mitoko yenu mkienda location mnajisnap, ati mnataka tuwaone mnakula maisha. Mbona mkila zile nyanya chungu zenu na bamia hampost wajinga nyie.

Msidhani hatujui moto unaowawakia hapo mwendokasi na kwenye Daladala. Tunajua sema tunawachora tuu mnavyokuja kujisemesha. Wapi kuna dungadunga kama sio Daslamu.

Kazi kuvizia vizia mishangazi iwalee. Unafikiri hatujui. Tutaachaje kujua wakati Waganga mnaowafuataga wanatoka huku mikoani. Kijana mdogo unachale mpaka Ikweta kisa kutafuta mishangazi. Alafu unadhani ni siri. Mnajidanganya sana.

Sisi wamikoani tutabaki kuwa Baba zenu. Mkopo tulishapita miaka mingi sana.

Mnajidanganya na hayo magorofa ambayo sio yenu. Hivi ukipiga picha kwenye ghorofa inamaanisha nini kama sio ushamba maboya ninyi. Ghorofa sio lako, na hutokuja kulimiliki lakini kijana kayamaliza majengo yote ya Daslamu.kazi kupost tuu.
Utasikia, now Kempinski Hotel, mara life good at Serena, mbuzi nyie. Mmelogwa sio bure.

Nitapiga mtu Hapa.
Kijana wa daslama umwambii kitu kuhusu MAISHA

Mkuu nahitaji ule uzi wako wa mambo yakuzingatia ukifika mjini naomba unitag niusome mkuu
 
Kijana wa daslama umwambii kitu kuhusu MAISHA

Mkuu nahitaji ule uzi wako wa mambo yakuzingatia ukifika mjini naomba unitag niusome mkuu
 
Back
Top Bottom