Hivi kwa nini watu mnakuwa wasaahulifu hivi na hata hamna logic!! nimesikia hotuba mbili tofauti ambazo Mwl JKNyerere anamtaja Mzee Tambaza na watu wengine, lakini kama hiyo haitoshi pana shule inaitwa Tambaza kwa kumbukumbu ya huyu mzee,na pia pana uwanja wa sheik Amani ambao unasema siyo kwaheshima ya Karume bali ni Amani mwingine, DSM kuna mtaa wa Kibasila, Migeyo, Shaban robert, Shekilango jamani haya yote ni majina yalipewa miaka hiyo ili iwe kumbukumbu kwetu, Nyerere mlitaka aanza kuandika maisha ya hawa watu kama yeye!!! kama aliruhusu mitaa na monument zingine zikaitwa kwa mjina ya hawa watu ebu nasi tufanye homework kidogo tujue who was who na kwa nini and then publish hicho kitabu na uone kama kuna mtu atakushitaki!! lakini katika hili wacha kumsema vibaya mzee wa watu, angetaka ajulikane peke yake angekwiba na kujitengenezea utajiri wa ajabu, lakini kaishi kwa uadilifu mkubwa akirinda mali za watanzania wote tena wakati hule hata wakuzijua mali alikuwa wapi!! ebu acheni hizo mpe heshima yake!!
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu ibariki Tanzania.