ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 610
- 1,540
Leo katika mkutano wa hadhara uliofanyika Bukoba Mjini, Kiongozi wa Chama, Ndugu Zitto Kabwe Ruyagwa amepokea wanachama 89 kutoka CCM, CHADEMA na CUF. Miongoni mwao viongozi. Hapa tutawataja viongozi tu.
Kutoka CCM
1. Edither Deogratius Mwenyekiti Kata ya Ibwera
2. Bi. Nadhifa Kanuma Mwenyekiti wa UWT Kata ya Katoro
Kutoka CHADEMA
1. Obadia Faustine Mwenezi Wilaya
Pascal Mulokozi Katibu wa BAVICHA Wilaya
2. Joniasi Kyakaraba Mwenyekiti wa Kata ya Bujugo.
Kutoka CUF
Hashimu Ismail Mwenyekiti wa Kata ya Katerero
Hivi sasa watu wa vyama mbalimbali wameona ACT Wazalendo ndio jukwaa sahihi la wao kufanya siasa za kujenga Taifa letu.
View attachment 2645004
Kutoka CCM
1. Edither Deogratius Mwenyekiti Kata ya Ibwera
2. Bi. Nadhifa Kanuma Mwenyekiti wa UWT Kata ya Katoro
Kutoka CHADEMA
1. Obadia Faustine Mwenezi Wilaya
Pascal Mulokozi Katibu wa BAVICHA Wilaya
2. Joniasi Kyakaraba Mwenyekiti wa Kata ya Bujugo.
Kutoka CUF
Hashimu Ismail Mwenyekiti wa Kata ya Katerero
Hivi sasa watu wa vyama mbalimbali wameona ACT Wazalendo ndio jukwaa sahihi la wao kufanya siasa za kujenga Taifa letu.