mbona wale waliomzomea bungeni hawajakamatwa ? ni nani wa kuwatetea wananchi wa nchi za kiafrica , TRUMP ?
Mtoto au litoto, hayana adabu.Sasa unakamata mpaka watoto duh?Kweli ukiwa CCM ni janga ,huyo mtoto wa miaka 11-16 unamfungulia mashtaka yapi??Au baadaye utaongeza miaka yake??
Hivi mtu akikuzomea ametenda kosa gani??
Mtoto au litoto, hayana adabu.
Dunia humu kuna "watoto" na "mitoto". We ukiona Toto halimsikii mwanadamu yeyote hata likionywa vipi ujue ni jipu hilo. Maana mwana umleavyo ndivyo akuavyo, na asiyefunzwa na babaye hufunzwa na ulimwengu. We ulidhani ulimwengu ni maghorofa!Duh,umesahahu Salma Kikwete alisema Mtoto wa mwenzio ni mwanao.Mtoto ni mtoto kinachojalisha ni umri wake.Unaweza kumuita majina yoyote utakayopenda lakini mwisho wa siku ni mtoto,na kama mtoto huna haki ya kumfungulia mashtaka.
Mtoto wako wewe unahakika anaheshima??Kama unauhakika basi mtoto wa mwenzio ni mwanao.
Ninawasiwasi nyie ndiyo mnaobaka na kulawiti watoto mkisingizia shetani
Dunia humu kuna "watoto" na "mitoto". We ukiona Toto halimsikii mwanadamu yeyote hata likionywa vipi ujue ni jipu hilo. Maana mwana umleavyo ndivyo akuavyo, na asiyefunzwa na babaye hufunzwa na ulimwengu. We ulidhani ulimwengu ni maghorofa!
Wangu hawasomi "sharia" wanasoma Elimu zote. Halafu, hebu mniache, juzi juzi hapa nilipigwa ban kwa majibu yenu haya haya! Mniacheee, kama kuchomwa ntachomwa Mimi huo moto, nyie na sharia zenu msijifanye kuhukumu watu hapa duniani.Kaka wee nenda kaite hivyo mitoto yako siyo watoto wa wenzako.Ninauhakika mitoto yako ndiyo isiyokuwa na adabu.
Wangu hawasomi "sharia" wanasoma Elimu zote. Halafu, hebu mniache, juzi juzi hapa nilipigwa ban kwa majibu yenu haya haya! Mniacheee, kama kuchomwa ntachomwa Mimi huo moto, nyie na sharia zenu msijifanye kuhukumu watu hapa duniani.
Hana adabu.Jifunze heshima.Heshima ni kuheshimu ubindamu wa mtu haijalishi chuki uliyonayo kwao.Aliyetuumba haanglii vyama vyetu anaangalia ROHO zetu,tuache ubinafsi,tuache chuki,tuache ubaguzi.
Mtoto ni mtoto haijalishi tabia yake ni mtoto tu
Hana adabu.
Wapi, akhera or?Hata kama hana bado status ya UTOTO wake haijatoka.Nimekwambia anza kuita wanao MITOTO yako.Sawa.Lakini usiite mtoto wa mwenzio litoto.Inawezekana na wa kwako ni LITOTO pia.Heshimu wengine hata kama huwapendi huji kesho nani atakusaidia.
Wapi, akhera or?
Achana na mimi.Utajaza mwenyewe
Achana na mimi.
YEYE NI NANI HATA WATU WASWEKWE NDANI ?
FIELD MARSHAL IDD AMIN RAIS WA MAISHA WA UGANDA !!!!!RAIS wa MAISHA wa Zanzibar